Rais Kikwete atunukiwa tuzo ya uongozi
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma Barani Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO NA TUCTA
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Rais Kikwete atunukiwa tuzo ya demokrasia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo ya kimataifa ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu jana, Rais Kikwete aliandikiwa barua ya kuwa mshindi wa kwanza katika mchuano huo uliohusisha marais watatu wa Afrika ambao waliingia katika tatu bora.
“Katika barua hiyo, Mchapishaji na Mhariri Mkuu wa Jarida hilo, Pastor Elvis Iruh, akizungumza kwa niaba ya Kamati ya Tuzo...
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
11 years ago
Habarileo31 Jul
Rais Kikwete atunukiwa tuzo nyingine ya kimataifa
RAIS Jakaya Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa Tuzo ya Kimataifa, kwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nyota wa Demokrasia Afrika 2014.
10 years ago
MichuziRAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
10 years ago
Habarileo30 Dec
DC atunukiwa tuzo ya uongozi
VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya Kikristo na Kiislamu mkoani Mbeya wamemtunuku Tuzo ya uongozi bora Mkuu wa wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Uongozi Bora nchini
Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akikmabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo maalum kwa kutambua mchango wange kwa taasisi simamizi katika kuimarisha Uwazi,Uadilifu na uwajibikaji wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni iliyofanyika katika ukumbi wa wa kimataifa wa mikutano Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo ni Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi,TAKUKURU, Mamlaka ya...