Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Caster Semenya Kuoa ?

Habari zaenea Afrika kusini kwamba Caster Semenya amejipatia mchumba wa kike.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Caster Semenya says she is 'supernatural' as she targets Olympic 200m

Two-time Olympic 800m champion Caster Semenya says she is "supernatural" as she confidently targets the 200m at Tokyo 2020.

 

9 years ago

Bongo5

Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!

Semenya 1

Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.

Semenya 1

Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.

Semenya 2

Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.

Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...

 

10 years ago

BBC

'I'm not fake. I'm just being Caster'

SA athlete Caster Semenya talks about career and gender

 

10 years ago

GPL

CHOKI KUOA SOON

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MIEZI michache baada ya kufiwa na mkewe, aliyejulikana kama Mama Shuu, Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki amesema kutokana na kuishi na familia, atalazimika kuoa tena ‘very soon’. Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki “Nitaoa hivi karibuni maana nitaepukana na vishawishi na mambo mengine, pia mimi kama mwanaume...

 

10 years ago

GPL

MARTIN KADINDA KUOA SOON!

Mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda. Na Laurent Samatta
MBUNIFU wa mavazi Bongo, Martin Kadinda, amesema kuwa baada ya kuishi bachela kwa miaka mingi amepanga kuoa ‘ soon’ mwanamke ambaye ni mpenzi wake wa siku nyingi ili kumaliza maneno ya watu kuwa hajiwezi. Akizungumza na Amani, Kadinda alisema kuwa mwanamke anayemuoa si aliyezaa naye mtoto bali ni mwanamke aliyekuwa naye kwenye uhusiano kwa muda mrefu na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapadri walioamua kuoa

Suala ya iwapo mapadri wanafaa kuruhusiwa kuoa limekuwa moja ya masuala nyeti katika Kanisa Katoliki, na kuna baadhi ya mapadri waliojitenga na kanisa hilo na kuamua kuoa.

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA

Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...

 

10 years ago

Mtanzania

P. Diddy hana mpango wa kuoa

P.Dippy-wallpapersBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MSANII tajiri nchini Marekani, Sean John ‘P. Diddy’, amesema hana mpango wa kuoa kwa sasa ingawa anaishi na Cassie kwa miaka nane hadi sasa katika uhusiano wao wa kimapenzi.
Msanii huyo ana watoto watano wakiwemo wawili wa mpenzi wake, Cassie.
Kiongozi huyo wa kundi la Bad Boy mwenye umri wa miaka 45, amesema wanachama wa kundi hilo hawakatazwi kuishi bila ya kuoa.
“Sijui kama nitakuja kuoa, huo ni utaratibu wa maisha yangu nadhani mtu unatakiwa kuwa tayari kwa kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa- Ni kawaida mapadre kuoa

KANISA Katoliki nchini limesema suala la kuoa au kutooa kwa makasisi ndani ya kanisa hilo, si jambo la ajabu kwa kuwa kanisa hilo maeneo ya Mashariki mwa dunia, makasisi (mapadri) wake wanaoa na Magharibi ikiwemo Tanzania, wamechagua kutooa.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anatoly Salawa alipozungumzia kauli ya Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, Papa Francis kuwa huenda kanisa hilo likaruhusu makasisi kuoa.

“Kanisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani