Caster Semenya Kuoa ?
Habari zaenea Afrika kusini kwamba Caster Semenya amejipatia mchumba wa kike.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC14 Mar
Caster Semenya says she is 'supernatural' as she targets Olympic 200m
9 years ago
Bongo511 Dec
Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!
![Semenya 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Semenya-1-300x194.jpg)
Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.
Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.
Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.
Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83104000/jpg/_83104373_caster_semenya_getty.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnoC6vpBNcL3dgn0YMKmhpxZighF70vmxIA4o6yvNC52EI8TLv5Ixy89InMVLBDTzFGghT2dTsfIUGxfFurQTKY/choki.jpg)
CHOKI KUOA SOON
10 years ago
GPLMARTIN KADINDA KUOA SOON!
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mapadri walioamua kuoa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0UIAsZSo6K*2c1keocTVRrzZY5XsSt81UApEpBUpmf*MLuqEVsDw2VlPL7NuHSh*uS7bjp4XaPpZ*XSCQDGNYMR/banza.jpg)
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
10 years ago
Mtanzania14 May
P. Diddy hana mpango wa kuoa
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MSANII tajiri nchini Marekani, Sean John ‘P. Diddy’, amesema hana mpango wa kuoa kwa sasa ingawa anaishi na Cassie kwa miaka nane hadi sasa katika uhusiano wao wa kimapenzi.
Msanii huyo ana watoto watano wakiwemo wawili wa mpenzi wake, Cassie.
Kiongozi huyo wa kundi la Bad Boy mwenye umri wa miaka 45, amesema wanachama wa kundi hilo hawakatazwi kuishi bila ya kuoa.
“Sijui kama nitakuja kuoa, huo ni utaratibu wa maisha yangu nadhani mtu unatakiwa kuwa tayari kwa kuwa...
11 years ago
Habarileo15 Jul
Kanisa- Ni kawaida mapadre kuoa
KANISA Katoliki nchini limesema suala la kuoa au kutooa kwa makasisi ndani ya kanisa hilo, si jambo la ajabu kwa kuwa kanisa hilo maeneo ya Mashariki mwa dunia, makasisi (mapadri) wake wanaoa na Magharibi ikiwemo Tanzania, wamechagua kutooa.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anatoly Salawa alipozungumzia kauli ya Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, Papa Francis kuwa huenda kanisa hilo likaruhusu makasisi kuoa.
“Kanisa...