Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


P. Diddy hana mpango wa kuoa

P.Dippy-wallpapersBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MSANII tajiri nchini Marekani, Sean John ‘P. Diddy’, amesema hana mpango wa kuoa kwa sasa ingawa anaishi na Cassie kwa miaka nane hadi sasa katika uhusiano wao wa kimapenzi.
Msanii huyo ana watoto watano wakiwemo wawili wa mpenzi wake, Cassie.
Kiongozi huyo wa kundi la Bad Boy mwenye umri wa miaka 45, amesema wanachama wa kundi hilo hawakatazwi kuishi bila ya kuoa.
“Sijui kama nitakuja kuoa, huo ni utaratibu wa maisha yangu nadhani mtu unatakiwa kuwa tayari kwa kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa

Licha ya kujaliwa kupata mtoto wa kwanza mwaka huu, star wa Nigeria, Davido amesema hafikirii kabisa kuoa kwa sasa. Davido akiwa na baby mama wake Katika mahojiano na gazeti la Punch la Naija, star huyo ambaye wiki iliyopita ametoa wimbo mpya ‘Dodo’, alipoulizwa kama baada ya kujaliwa kupata mtoto kama anafikiria kuoa alijibu, “Sifikirii kabisa, […]

 

9 years ago

Mtanzania

Wenger hana mpango wa kustaafu

arsene-wenger_2645586bLONDON, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amesisitiza kuwa mpaka sasa hajapanga tarehe rasmi ya kustaafu kufundisha soka.

Wenger amesema bado anaamini anaweza kufanya makubwa kwa klabu ya Arsenal hasa msimu huu wa Ligi Kuu nchini England huku akiwa na matumaini makubwa ya kuchukua ubingwa.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 65, amekuwa na furaha ya kufikisha miaka 19 ya kuifundisha klabu ya Arsenal, hata hivyo mashabiki wa klabu hiyo walianza kumchoka kutokana na maendeleo...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mndolwa asema hana mpango na ubunge


NA MOHAMMED ISSA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Vijijini, Dk. Edmund Mndolwa, amesema hafanyi ziara kwa lengo la kutaka ubunge katika jimbo la Korogwe Vijijini.
Amesema anafanya kazi kama mjumbe wa NEC, kutoka wilaya hiyo na kwamba  lengo la ziara zake ni kukijenga Chama.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini  Dar es Salaam, jana, Dk. Mndolwa alisema hajawahi kufanya kampeni yoyote katika ziara zake hizo na kwamba lengo la ziara zake...

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella hana mpango wa kutoa album

Nyota wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Christian Bella amesema hana mpango wa kuachia album kutokana na anguko la soko pamoja na kudai kazi zake zinaishi kwa muda mrefu. Bella ambaye ameachia wimbo mpya pamoja na bendi yake uitwao, Amerudi, amesema amejipanga kuboresha zaidi kazi zake ili ziwe na mvuto na ziishi kwa muda mrefu […]

 

10 years ago

Habarileo

Sendeka asema hana mpango kuhama CCM

MBUNGE wa Simanjiro Christopher ole Sendeka amekanusha habari zilizosambaa mitandaoni kuwa anahamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kusema kuwa habari hizo hazina tija na ni upotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muumini wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hajaona chama mbadala.

 

10 years ago

Mwananchi

BEN POL: Kumbe hana mpango wa kutengenea video nje

Wakati wasanii wengine wakifanya juhudi kuhakikisha wanasafiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kutengeneza video za nyimbo zao,, mwimbaji mwenye sauti ya kuvutia, Bernard Paul maarufu ‘Ben Pol’ amesema kuwa hana mpango wa kutengeneza video nje ya Tanzania.

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD asema hana mpango wa kufanya video nje ya nchi

Hemedy PHD ni miongoni mwa wasanii wanaowekeza katika kufanya video nzuri lakini kwa kutumia watayarishaji, waongozaji na maeneo ya wa hapa hapa nyumbani Tanzania. Msanii huyo wa muziki na filamu amesema kuwa hana mpango wa kwenda kushoot video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wengine. Staa huyo ambaye ameachia wimbo […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale

mondi bin awards

Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.

mondi bin awards

Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.

Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...

 

9 years ago

Bongo5

Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani

Wakati wanamuziki wengine wa Afrika Mashariki wakiendelea kutafuta njia za kuvuka mipaka ili kutangaza muziki wao kimataifa, Bobi Wine kutoka Uganda amewashangaza wengi baada ya kusema kuwa anaridhika kuwa ‘local artist’ na hana mpango wa kwenda ‘International’. Akiongea kupitia kipindi cha The Beat cha NTV ya Uganda Ijumaa iliyopita, Bobi Wine amesema kuwa kazi yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani