Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christian Bella hana mpango wa kutoa album

Nyota wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Christian Bella amesema hana mpango wa kuachia album kutokana na anguko la soko pamoja na kudai kazi zake zinaishi kwa muda mrefu. Bella ambaye ameachia wimbo mpya pamoja na bendi yake uitwao, Amerudi, amesema amejipanga kuboresha zaidi kazi zake ili ziwe na mvuto na ziishi kwa muda mrefu […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi

Juma Nature amedai kuwa hafikirii kwenda kushoot video zake nje ya nchi kama wasanii wengi wa Tanzania wanavyofanya. Nature amesema anaamini kuwa hapa nchini kila kitu kinawezekana. “Mie video zangu zote nitafanyia hapa hapa labda nikienda huko Ulaya kufanya show ndo nitaweza kufanya video lakini eti natoka hapa sijui naenda kufanya huko video siwezi,” amesema […]

 

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Belle 9 hana nyota

Belle-9Na Festo Polea
MWANAMUZIKI Christian Bella ‘King of melody’, amesema kwamba msanii wa bongo fleva, Ablenego Damian ‘Belle 9’, amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake.
Christian Bella alisema hayo katika kipindi cha ‘Mboni Show’. Alisema kati ya wasanii watatu wanaomvutia kwa kujua kuzitumia sauti zao, Belle 9 ni mmoja wao.
Aliwataja wasanii wengine kuwa ni Ali Kiba na Diamond.
“Nisiwe mnafiki, Diamond hana sauti nzuri kama Ali Kiba katika kuimba na...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014

Msanii wa Muziki wa Dansi, Christian Bella. Na Josephat Lukaza  Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT). Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na...

 

10 years ago

Michuzi

CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY

Na Josephat Lukaza
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...

 

10 years ago

Dewji Blog

Christian Bella kutoa burudani ya kufa mtu katika fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) tarehe 30 August 2014 Mlimani City

SDS

Christian Bella

Na Josephat Lukaza

Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).

Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la...

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Christian Bella — Umefulia

Wimbo mpya wa Christian Bella na Band yake ya Malaika Band unaitwa “Umefulia” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR

Christian Bella akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar jioni hii. MWANAMUZIKI Christian Bella 'King of the best melodies' ambaye pia ni prezidaa wa Malaika Band, jioni hii ametua jijini Dar es Salaam akitokea nchini Sweden alipokwenda kuijulia hali familia yake pamoja na kufanya shoo katika baadhi ya nchi za Ulaya. Staa huyo Jumamosi hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani