Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Music: Christian Bella — Umefulia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xXzXfwLzSnf5et*1bgxiZSvqPBpLUvPNG38miKxcLssqKFXUzhzeP3uAPrHr8JkfcFclLIezDPhfb-rD3I4bYm/frontWIKIENDA.jpg?width=650)
HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pJT5M-9Yk*TOmQjIHS2oycKYlfYWmW751Ddd771x*MMlK-JY*aOh5YS5rqcUY*xysCS19IR9KUMPE3-*bkF9bEV/1BELLA2.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Christian Bella: Video yangu ni milioni 17 tu
NA MWALI IBRAHIM
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella ‘King of the best melody’ ametamba kuwa video ya wimbo wake mpya wa ‘Nashindwa’ ndiyo bora kati ya nyimbo za dansi nchini. Bella alisema ubora huo unatokana na kuwekeza milioni 17 kwa ajili ya video hiyo ambayo picha zake zimefanyika nchini Afrika Kusini, ambapo sasa wanakumbwa na aibu ya kushambulia wageni. Bella alichambua kwamba gharama hizo zinatokana na usafiri, maandalizi yote na kukamilika kwa video hiyo...
10 years ago
Bongo514 Feb
New Music: Christian Bella — Ukimwona (Remix)
10 years ago
Bongo521 Jan
New Music: Linah f/ Christian Bella — Hellow
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Christian Bella: Belle 9 hana nyota
Na Festo Polea
MWANAMUZIKI Christian Bella ‘King of melody’, amesema kwamba msanii wa bongo fleva, Ablenego Damian ‘Belle 9’, amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake.
Christian Bella alisema hayo katika kipindi cha ‘Mboni Show’. Alisema kati ya wasanii watatu wanaomvutia kwa kujua kuzitumia sauti zao, Belle 9 ni mmoja wao.
Aliwataja wasanii wengine kuwa ni Ali Kiba na Diamond.
“Nisiwe mnafiki, Diamond hana sauti nzuri kama Ali Kiba katika kuimba na...
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Pah One Ft Christian Bella – Magoma
![pah-one](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/pah-one-300x194.jpg)
Kundi la Pah One wameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Magoma” wamemshirikisha Christian Bella, Video imeongozwa na Minzi Mims.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Kitime akosoa muziki wa Christian Bella
NA GEORGE KAYALA
MKONGWE wa muziki wa dansi nchini, John Kitime, ameukosoa muziki wa mwanamuziki mwenzake, Christian Bella, kwa madai kwamba una mapungufu mengi ya kiufundi.
Kitime alitoa hayo mwishoni mwa wiki, alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, iliyopo Sinza Kijiweni, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, The African na Rai.
Kitime alisema mwanamuziki huyo ana sauti nzuri ya uimbaji, ila muziki wake umekosa vionjo, ndiyo maana unakosa uhai wa muda mrefu...