CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pJT5M-9Yk*TOmQjIHS2oycKYlfYWmW751Ddd771x*MMlK-JY*aOh5YS5rqcUY*xysCS19IR9KUMPE3-*bkF9bEV/1BELLA2.jpg?width=650)
Christian Bella akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar jioni hii. MWANAMUZIKI Christian Bella 'King of the best melodies' ambaye pia ni prezidaa wa Malaika Band, jioni hii ametua jijini Dar es Salaam akitokea nchini Sweden alipokwenda kuijulia hali familia yake pamoja na kufanya shoo katika baadhi ya nchi za Ulaya. Staa huyo Jumamosi hii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL08 Jun
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA ALIVYOFUNIKA DAR LIVE JANA
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA ALIPOWASILI DAR JANA AKITOKEA SWEDEN
9 years ago
Global Publishers01 Jan
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/B4FuYVpLVfg/default.jpg)
10 years ago
GPL08 Dec
NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE
9 years ago
Global Publishers26 Dec
9 years ago
Michuzi25 Sep
CHRISTIAN BELLA, KADJANITO, MSAGA SUMU WAPAGAWISHA DAR LIVE
![9](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/92.jpg)
![5](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/59.jpg)
![6](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/610.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
![12301240_431794427022691_698500110_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301240_431794427022691_698500110_n-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...