Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR

Christian Bella akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar jioni hii. MWANAMUZIKI Christian Bella 'King of the best melodies' ambaye pia ni prezidaa wa Malaika Band, jioni hii ametua jijini Dar es Salaam akitokea nchini Sweden alipokwenda kuijulia hali familia yake pamoja na kufanya shoo katika baadhi ya nchi za Ulaya. Staa huyo Jumamosi hii...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA ALIVYOFUNIKA DAR LIVE JANA

Wanamuziki wa Malaika Music Band wakilishambulia jukwaa. Mashabiki wakipagawishwa na muziki huo. Christian Bella akiimba moja ya nyimbo zake kwa hisia.…

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA ALIPOWASILI DAR JANA AKITOKEA SWEDEN

Christian Bella (katikati) akiwa na promota Bongam (kushoto) na Meneja wa Malaika Band, Juma Abajalo. ...Akiwa na wadau wake uwanja wa ndege Dar.…

 

9 years ago

Global Publishers

10 years ago

GPL

NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE

BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ Desemba 6, 2014 iliutikisa Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar baada ya kuwapagawisha mashabiki kwa shoo ya nguvu iliyoambatana na utambulisho wa wimbo wa Bella uitwao 'Nani Kama Mama'.

 

9 years ago

Michuzi

CHRISTIAN BELLA, KADJANITO, MSAGA SUMU WAPAGAWISHA DAR LIVE

9Bella akicheza na waimbaji wake.5Mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo wakiserebuka.6Christian Bella akiimba wimbo wa ‘Nani Kama Mama’.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani