Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani

Wakati wanamuziki wengine wa Afrika Mashariki wakiendelea kutafuta njia za kuvuka mipaka ili kutangaza muziki wao kimataifa, Bobi Wine kutoka Uganda amewashangaza wengi baada ya kusema kuwa anaridhika kuwa ‘local artist’ na hana mpango wa kwenda ‘International’. Akiongea kupitia kipindi cha The Beat cha NTV ya Uganda Ijumaa iliyopita, Bobi Wine amesema kuwa kazi yake […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi

Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya taarifa kuhusu kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi vya corona.

 

10 years ago

Mtanzania

Bobi Wine apata mtoto wa nne

Bobi WineMSANII kutoka Uganda, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’ na mke wake, Barbie Kyagulanyi, wamepata mtoto wa kike anayetimiza jumla ya watoto wanne.

“Hii ni mipango ya Mungu, tunashukuru kwa dua zenu tumepata mtoto wa kike mwenye sura mzuri na hali ya mama yake inaendelea vizuri,” aliandika Bobi Wine kupitia akaunti yake ya Facebook.

Mashabiki wanasema kuwa huu ni mwaka wa watu maarufu na wasanii kupata watoto kama ilivyo kwa Nassib Abdul ‘Diamond’ kutoka nchini Tanzania, Jackie Matubia kutoka...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mndolwa asema hana mpango na ubunge


NA MOHAMMED ISSA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Vijijini, Dk. Edmund Mndolwa, amesema hafanyi ziara kwa lengo la kutaka ubunge katika jimbo la Korogwe Vijijini.
Amesema anafanya kazi kama mjumbe wa NEC, kutoka wilaya hiyo na kwamba  lengo la ziara zake ni kukijenga Chama.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini  Dar es Salaam, jana, Dk. Mndolwa alisema hajawahi kufanya kampeni yoyote katika ziara zake hizo na kwamba lengo la ziara zake...

 

10 years ago

Habarileo

Sendeka asema hana mpango kuhama CCM

MBUNGE wa Simanjiro Christopher ole Sendeka amekanusha habari zilizosambaa mitandaoni kuwa anahamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kusema kuwa habari hizo hazina tija na ni upotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muumini wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hajaona chama mbadala.

 

5 years ago

BBC

Pop star MP Bobi Wine sings coronavirus alert for the world

Uganda's Bobi Wine is using his music to encourage collective action to stop the spread of the virus.

 

9 years ago

Bongo5

Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa

Licha ya kujaliwa kupata mtoto wa kwanza mwaka huu, star wa Nigeria, Davido amesema hafikirii kabisa kuoa kwa sasa. Davido akiwa na baby mama wake Katika mahojiano na gazeti la Punch la Naija, star huyo ambaye wiki iliyopita ametoa wimbo mpya ‘Dodo’, alipoulizwa kama baada ya kujaliwa kupata mtoto kama anafikiria kuoa alijibu, “Sifikirii kabisa, […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Bobi Wine ahamasisha Umma kuhusu virusi vya corona

Mwanamuziki na mbunge wa Uganda Kyangulanyi Ssentamu maarufu kama Bobi Wine amezindua wimbo kwa jina coronavirus.

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD asema hana mpango wa kufanya video nje ya nchi

Hemedy PHD ni miongoni mwa wasanii wanaowekeza katika kufanya video nzuri lakini kwa kutumia watayarishaji, waongozaji na maeneo ya wa hapa hapa nyumbani Tanzania. Msanii huyo wa muziki na filamu amesema kuwa hana mpango wa kwenda kushoot video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wengine. Staa huyo ambaye ameachia wimbo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Bobi Wine ajitolewa kuwarejesha makwao waafrika 'wanaobaguliwa' China

Mwanamuziki na mbunge wa Uganda Kyangulanyi Ssentamu maarufu kama Bobi Wine, amesema kuwa ameungana na mfanyibiashara wa Marekani kuwarejesha nyumbani waafrika wanaodaiwa kubaguliwa China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani