Bobi Wine apata mtoto wa nne
MSANII kutoka Uganda, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’ na mke wake, Barbie Kyagulanyi, wamepata mtoto wa kike anayetimiza jumla ya watoto wanne.
“Hii ni mipango ya Mungu, tunashukuru kwa dua zenu tumepata mtoto wa kike mwenye sura mzuri na hali ya mama yake inaendelea vizuri,” aliandika Bobi Wine kupitia akaunti yake ya Facebook.
Mashabiki wanasema kuwa huu ni mwaka wa watu maarufu na wasanii kupata watoto kama ilivyo kwa Nassib Abdul ‘Diamond’ kutoka nchini Tanzania, Jackie Matubia kutoka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC27 Mar
Pop star MP Bobi Wine sings coronavirus alert for the world
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Bobi Wine ahamasisha Umma kuhusu virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Bobi Wine ajitolewa kuwarejesha makwao waafrika 'wanaobaguliwa' China
9 years ago
Bongo521 Sep
Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Mtoto apata mtoto Paraguay.
10 years ago
GPLMKWERE APATA MTOTO WA KIKE
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Mr Flavour kama Diamond, apata mtoto
WAKATI nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul (Diamond Platinum) akifurahia mtoto wake wa kwanza aliyempa jina la Tiffah, nyota mwenzake wa Nigeria, Flavour Nabania ‘Mr Flavour’ naye amepata mtoto.
Diamond Platinum na mpenzi wake, Zarina Hassani (Zari), wamefanikiwa kupata mtoto wa kike huku Mr Flavour na mpenzi wake, Anna Banner wakipata mtoto wa kiume.
Mtoto wa Mr Flavour amezaliwa Texas nchini Marekani akiwa ni mtoto wake wa pili, wa kwanza akiwa amezaa na mrembo, Sandra Okagbue,...
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Fid Q apata mtoto wa kike, Fidelie