Picha: Fid Q apata mtoto wa kike, Fidelie
Fareed Kubanda aka Fid Q na mchumba wake wamejaaliwa mtoto wa kike. Mtoto huyo amepewa jina Fidelie. Allah kanibless na Mtoto wa kike asubuhi hii.. Allah is always great 🙏 #FIDELIA #FIDELIA #FIDELIA pic.twitter.com/YwNiDx1ZBL — #KEMOSABE(Interlude) (@FidQ) September 25, 2015 Mtoto huyo amezaliwa asubuhi ya leo. Kupitia Instagram pia Fid ameandika: Alhamdulillah… She’s here, The […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Oct
Mtazame kwa ukaribu mtoto wa kike wa Fid Q, Fidelie
9 years ago
Bongo528 Sep
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
10 years ago
GPLMKWERE APATA MTOTO WA KIKE
9 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura
9 years ago
Bongo503 Sep
Picha: Mr Blue apata mtoto wa pili, jinsia yake ni?
9 years ago
Bongo511 Dec
Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya apata jiko!
![Semenya 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Semenya-1-300x194.jpg)
Mwanariadha controversial wa nchini Afrika Kusini, Caster Semenya amedaiwa kufunga ndoa.
Taarifa zimedai kuwa Semenya alifunga ndoa ya kimila wikiendi iliyopita.
Caster na mpenzi wake wa muda mrefu Violet Raseboya walisherehekea harusi yao huko Ga-Dikgale kwenye wilaya ya Capricorn ya Limpopo.
Hata hivyo ndugu zake wa karibu wamekanusha taarifa hizo huku wengine wakidai huenda ilikuwa ni sherehe ya kuchumbiana tu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Fid Q atamani kuvunja rekodi ya mtoto wa Diamond
NA VICTORIA PATRIC (TSJ)
MSANII wa hip hop, Farid Kubanda (Fid Q), ametamani kuwa na wafuatiliaji wengi katika akaunti yake mpya kama atashindwa kuirudisha akaunti yake ya sasa iliyozuiwa na maharamia wa mtandao.
Akaunti ya msanii huyo kwa sasa inasomeka kwa jina la mrembo wa Tanzania 2007, Wema Sepetu, jambo ambalo linachanganya watu wengi.
“Hawa jamaa wanakatisha tamaa maana mimi nilikuwa natumia mtandao wangu kwa kujitangaza, kutangaza kazi zangu mpya na pia kuwasiliana na wadau wangu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.