Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Czech aliyejifungua mtoto wa kike aitwaye Fidelie Ijumaa hii. Fid Q ameiambia 255 ya kipindi cha XXL, Clouds FM kuwa kuna mambo mazuri mengi yanakuja kati yao. “Huyu ni mtoto wangu wa kwanza wa kike na kwa haraka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Fid Q apata mtoto wa kike, Fidelie
9 years ago
Bongo527 Oct
Mtazame kwa ukaribu mtoto wa kike wa Fid Q, Fidelie
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s72-c/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s640/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TLBch-xO68U/VYpB4vR4EdI/AAAAAAABQjk/mStD8WmafcU/s640/Faiza%2BAlly%2Bna%2BSasha.jpg)
Hiki ndicho amekiandika...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Mama na mtoto wake wauawa kikatili
![Arusha Town](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Arusha-Town.jpg)
Arusha Town
Na Eliya Mbonea, Arusha
MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.
Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.
Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Mama anapoipenda bia kuliko mtoto wake!
WIKI iliyopita nilipata mwaliko kutoka kwa rafiki yangu wa siku nyingi ambaye aliamua kuandaa sherehe ya kujipongeza baada ya kutimiza miaka kadhaa karibu na nusu karne tangu Mwenyezi Mungu alipomleta...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Waliomuua ‘Mama Serengeti’ watoweka na mtoto wake
MAJANGILI yaliyoua faru maarufu kama ‘Mama Serengeti’ yanadaiwa kuondoka na mtoto wa faru huyo aliyekuwa na umri wa miezi minne. Habari ambazo Tanzania Daima ilizipata zilidai kuwa Mama Serengeti ni...
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama amekutana na mtoto wake baada ya miaka 15
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Kagoli Fundikira, mama wa Samuel Sitta anayemhurumia mtoto wake