Mama anapoipenda bia kuliko mtoto wake!
WIKI iliyopita nilipata mwaliko kutoka kwa rafiki yangu wa siku nyingi ambaye aliamua kuandaa sherehe ya kujipongeza baada ya kutimiza miaka kadhaa karibu na nusu karne tangu Mwenyezi Mungu alipomleta...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO


Hiki ndicho amekiandika...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town
Na Eliya Mbonea, Arusha
MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.
Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.
Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Waliomuua ‘Mama Serengeti’ watoweka na mtoto wake
MAJANGILI yaliyoua faru maarufu kama ‘Mama Serengeti’ yanadaiwa kuondoka na mtoto wa faru huyo aliyekuwa na umri wa miezi minne. Habari ambazo Tanzania Daima ilizipata zilidai kuwa Mama Serengeti ni...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
10 years ago
Bongo528 Sep
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama amekutana na mtoto wake baada ya miaka 15
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Kagoli Fundikira, mama wa Samuel Sitta anayemhurumia mtoto wake
10 years ago
Bongo523 Jun
Sugu amshtaki mama wa mtoto wake Faiza, anahisi anamharibu mwanae
11 years ago
Bongo Movies14 Jul
SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.
“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...