Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagoli Fundikira, mama wa Samuel Sitta anayemhurumia mtoto wake

Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa la Tanzania. Zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania wanaishi vijijini wakitegemea kilimo hasa cha jembe la mkono.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO

Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) ameshinda kesi aliyomfungulia aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally ambaye pia ni mama wa mtoto wake wa kike aitwaye Sasha.Kwa mujibu wa maelezo ya Faiza kupitia akaunti yake ya Instagram, mahakama imetoa hukumu ambayo ni mtoto achukuliwe na kulelewa na baba yake mzazi.Sugu alimshitaki Faiza kwa madai kuwa hana maadili na ana hofia kuwa atamharibu mtoto wao, hivyo alitaka kumchukua mtoto kutoka kwa mama yake aishi naye.

Hiki ndicho amekiandika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Samuel Sitta

SAMUEL Sitta jana alichaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rugwe, huku akijigamba kuwa kuchaguliwa kwake ni...

 

11 years ago

Mtanzania

Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town

Arusha Town

Na Eliya Mbonea, Arusha

MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.

Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.

Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...

 

11 years ago

IPPmedia

CA Chairman Samuel Sitta


IPPmedia
CA Chairman Samuel Sitta
IPPmedia
Tension gripped Dodoma this week as word went round that a cross-section of politicians had planned to boo President Jakaya Kikwete during his official inauguration of the Constituent Assembly, Friday evening. The plan was initially hatched by some ...
CA members commend president's inaugural speechDaily News
New Chapter in History As Kikwete Inaugurates CA On FridayAllAfrica.com

all 21

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samuel Sitta ni mzalendo!

KAMA ni hadaa za kisiasa kwa Samuel Sitta, basi tuna kila sababu ya kumshauri kwamba imetosha, maana lengo lake la kujijenga kisiasa linazidi kuyeyuka na sasa ni kama anajitengenezea fedheha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samuel Sitta aweweseka

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amesema iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ina hadhi ndogo kuliko Bunge Maalum. Amesema kutokana na hadhi ndogo hiyo, ndiyo maana wametoa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mama amekutana na mtoto wake baada ya miaka 15

Kukosa kwake stakabadhi kumefanya iwe vigumu kupata usaidizi ama kurejea kwao.

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie

Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Czech aliyejifungua mtoto wa kike aitwaye Fidelie Ijumaa hii. Fid Q ameiambia 255 ya kipindi cha XXL, Clouds FM kuwa kuna mambo mazuri mengi yanakuja kati yao. “Huyu ni mtoto wangu wa kwanza wa kike na kwa haraka […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama anapoipenda bia kuliko mtoto wake!

WIKI iliyopita nilipata mwaliko kutoka kwa rafiki yangu wa siku nyingi ambaye aliamua kuandaa sherehe ya kujipongeza baada ya kutimiza miaka kadhaa karibu na nusu karne tangu Mwenyezi Mungu alipomleta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani