Ni Samuel Sitta
SAMUEL Sitta jana alichaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rugwe, huku akijigamba kuwa kuchaguliwa kwake ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia23 Mar
CA Chairman Samuel Sitta
IPPmedia
CA Chairman Samuel Sitta
IPPmedia
Tension gripped Dodoma this week as word went round that a cross-section of politicians had planned to boo President Jakaya Kikwete during his official inauguration of the Constituent Assembly, Friday evening. The plan was initially hatched by some ...
CA members commend president's inaugural speechDaily News
New Chapter in History As Kikwete Inaugurates CA On FridayAllAfrica.com
all 21
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Samuel Sitta ni mzalendo!
KAMA ni hadaa za kisiasa kwa Samuel Sitta, basi tuna kila sababu ya kumshauri kwamba imetosha, maana lengo lake la kujijenga kisiasa linazidi kuyeyuka na sasa ni kama anajitengenezea fedheha...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Samuel Sitta aweweseka
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amesema iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ina hadhi ndogo kuliko Bunge Maalum. Amesema kutokana na hadhi ndogo hiyo, ndiyo maana wametoa...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Samuel Sitta: Kura ya siri
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Nderakindo amkana Samuel Sitta
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
ADC yamkosoa Samuel Sitta
MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraji, amemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kufanya ubaguzi wa kutembelea makundi mbalimbali katika mchakato wa...
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ukawa wamgomea Samuel Sitta
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.
Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
... Samuel Sitta awekwa mtegoni
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Karibu mtaani Samuel Sitta
NAPENDA kuchukua fursa hii kukukaribisha mtaani mzee wangu, Samuel Sitta, baada ya kazi nzito ya kuliongoza Bunge Maalum la Katiba. Hakuna asiyejua uzito wa kazi mliyokuwa mkiifanya pale bungeni maana...