Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADC yamkosoa Samuel Sitta

MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraji, amemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kufanya ubaguzi wa kutembelea makundi mbalimbali katika mchakato wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Samuel Sitta

SAMUEL Sitta jana alichaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rugwe, huku akijigamba kuwa kuchaguliwa kwake ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samuel Sitta aweweseka

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amesema iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ina hadhi ndogo kuliko Bunge Maalum. Amesema kutokana na hadhi ndogo hiyo, ndiyo maana wametoa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samuel Sitta ni mzalendo!

KAMA ni hadaa za kisiasa kwa Samuel Sitta, basi tuna kila sababu ya kumshauri kwamba imetosha, maana lengo lake la kujijenga kisiasa linazidi kuyeyuka na sasa ni kama anajitengenezea fedheha...

 

11 years ago

IPPmedia

CA Chairman Samuel Sitta


IPPmedia
CA Chairman Samuel Sitta
IPPmedia
Tension gripped Dodoma this week as word went round that a cross-section of politicians had planned to boo President Jakaya Kikwete during his official inauguration of the Constituent Assembly, Friday evening. The plan was initially hatched by some ...
CA members commend president's inaugural speechDaily News
New Chapter in History As Kikwete Inaugurates CA On FridayAllAfrica.com

all 21

 

10 years ago

Tanzania Daima

Karibu mtaani Samuel Sitta

NAPENDA kuchukua fursa hii kukukaribisha mtaani mzee wangu, Samuel Sitta, baada ya kazi nzito ya kuliongoza Bunge Maalum la Katiba. Hakuna asiyejua uzito wa kazi mliyokuwa mkiifanya pale bungeni maana...

 

11 years ago

Mtanzania

Ukawa wamgomea Samuel Sitta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.

Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...

 

10 years ago

Mwananchi

Nderakindo amkana Samuel Sitta

Dodoma. Wakati Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akisema ofisi yake imewakutanisha na kumaliza mgogoro baina ya wabunge wawili wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), mmoja wa wabunge hao, Dk Nderakindo Kessy amesema hakuna kitu kama hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

... Samuel Sitta awekwa mtegoni

>Suala la ama kutumia kura ya siri au ya wazi kuamua ibara za Rasimu ya Katiba jana liliuteka upya mjadala wa Kanuni za Bunge la Katiba, huku ikielezwa kuwa limewekwa kama mtego kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta katika kuwania urais.

 

11 years ago

Mwananchi

Samuel Sitta: Kura ya siri

Mwenyekiti Mteule wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amezungumzia uwezekano wa kutumia kura ya siri katika kuamua ibara nyeti katika Rasimu ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani