Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
Mtoto Christina Kusale (2) amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala baada ya kufanyiwa ukatili na mama yake mzazi kwa kumkata sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama amekutana na mtoto wake baada ya miaka 15
11 years ago
Mwananchi14 Jun
UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
5 years ago
YkileoAHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA KWA KOSA LA KUHARIBU TAARIFA ZA ALIYEKUA MUAJIRI WAKE
KWA UFUPI: Steffan Needham, Amabae alihudumu kama mshauri wa maswala ya tehama (IT Cosultant) katika kampuni ya Voova ya nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha miaka 2 Jela kwa kosa la kuharibu taarifa za muajiri wake wa wa zamani.--------------------------------
Kwa mujibu wa Thames Valley Police ya Nchini Uingereza, Mtuhumiwa alifukuzwa kazi na mwaajiri wake na baadae kuharibu taarifa zote muhimu za kampuni hiyo kwa kile kilicho tafsiriwa kama kulipiza kisasi kutokana na kufukuzwa...
10 years ago
VijimamboSUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO
Hiki ndicho amekiandika...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mtoto wa miaka 2 aua mama yake
10 years ago
GPLMAMA AMCHOMA MOTO MTOTO MIAKA 7
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Mama na mtoto wake wauawa kikatili
Arusha Town
Na Eliya Mbonea, Arusha
MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.
Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.
Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...