UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
>Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka miwili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
Mtoto Christina Kusale (2) amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala baada ya kufanyiwa ukatili na mama yake mzazi kwa kumkata sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali.
11 years ago
Mwananchi12 Jul
UKATILI: Mtoto afichwa uvunguni kwa miaka 6 Morogoro
>Wakati jamii ikiwa bado haijasahau mateso aliyoyapata mtoto Nasra Mvungi na kusababisha kifo chake, tukio lingine la aina hiyo limetokea katika Kijiji cha Matongola, Tarafa ya Magole Wilaya ya Kilosa, baada ya kubainika mtoto wa miaka sita akiwa amefichwa uvunguni mwa kitanda na kufanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10
>Juni 21 ilikuwa ni siku ya kawaida kwa Mama Nancy mkazi wa Narok nchini Kenya, lakini ilifichua siri nzito ya mtoto aliyefichwa kwa miaka kumi katika banda la mbuzi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7U6-tWg3W2wUbGCq-J2SKi5NPmEcoFH5NRqJjEj7L5lrS6*epsOnUmf-SW016SW0byQE4h-CGsEY*EDRx55amr/Mama.jpg?width=650)
MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’
Stori: Mwandishi Wetu NI kweli kama binadamu hujafa hujaumbika! Maana ya msamiati huu ni kwamba, siku binadamu anapoingia kaburini ndipo kuumbika kwake kulivyo!
Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya Bagamoyo, Pwani amejikuta katika wakati mgumu kufuatia mguu wake wa kushoto kuvimba mfano wa tende kwa ugonjwa ambao bado haujapata tiba. Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8kIJYeSn6hs5iD-oDC4QBC0VPNp2nUWE62ay3kQOw-DwzRqtMLcyI97csnxreRZVSQXh1q-lF9BGctzgYB1PDX/mtoto.jpg)
MTOTO ATESWA SIKU 730!
Stori: Deogratius Mongela
SIKU 730 au miaka miwili ya unyama na ukatili uliombatana na vipigo mfululizo, vimempa wakati mgumu katika maisha mtoto wa miaka 15, Melina aliyefika katika Jiji la Dar es Salaam mwaka 2012 akitokea kijijini Ishozi- Kiziba, Kagera kwa lengo la kufanya kazi za ndani, yaani ‘hausigeli’. Mtoto Melina wa (15) aliyefika katika Jiji la Dar es Salaam mwaka 2012 akitokea kijijini Ishozi-...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CEFDP5A6Tm*GqbIZTK459tlMrbnypueiPKNkfLRAN2LK3ndPrTtu9n1DwuDPhHTHK-X*8UQPFvEgUh1ZHoGkOH/mtotooo.jpg?width=650)
MTOTO ATESWA KWA WAYA...
MKE wa rais, mama Salma Kikwete alizungumza kweli kwamba, mtoto wa mwenzio ni wako! Lakini sivyo kwa mtoto Suleiman Riziki (4), mkazi wa Pugu Kinyamwezi, jijini Dar es Salaam ambaye amejikuta katika wakati mgumu kufuatia madai kwamba amekuwa akiteswa na mama yake wa kufikia hadi kudhoofika afya. Kwa mujibu wa baba mzazi wa mtoto huyo, Riziki Suleiman, mateso hayo yalikuwa yakitendwa na mwanamke huyo aliyemtambulisha kwa jina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcMsoavqsKeO2oTp*f98zrMF8jlR5QSZaHFMRem5IWaXvfV*75sz96sm7nelweC1oJXgFYiWj*pP05Na7IUNKaQ/nomajjjjjsana.gif)
MWANAFUNZI ATESWA NA MACHO MIAKA 10
Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
MTOTO Omar Mayunga (10) (pichani) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Sombetini jijini hapa, ameshindwa kuendelea na masomo kutokana na ugonjwa wa kuvimba macho na anahitaji msaada wa kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Kilimanjaro, Christian Medical Centre ‘KCMC’. Mtoto Omar Mayunga akiwa na mama yake. Mayunga anayeishi Sombetini na mama...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Phiri aomba miaka miwili
Kocha wa Simba, Mzambia Patrick Phiri amesema iwapo klabu yake itamvumilia kwa miaka miwili atatengeneza wachezaji bora kama ilivyo kwa nyota wa TP Mazembe ya DR Congo (DRC), Mbwana Samatta.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Santo miaka miwili Simba
KLABU ya Simba imesajili nyota wawili Wakenya; Raphael Mungai kutoka Klabu ya KCB ya Kenya anayecheza nafasi ya ushambuliaji na kiungo wake wa zamani, Jerry Santo akitokea Coastal Union ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania