Mtazame kwa ukaribu mtoto wa kike wa Fid Q, Fidelie
Fareed Kubanda aka Fid Q amemtambulisha kwa ukaribu binti yake mwenye mwezi mmoja sasa, Fidelie. Mtoto huyo alizaliwa September 25 mwaka huu. Rapper huyo amepost picha ya Fidelie kwenye Instagram na kuandika: #MalkiaWaNyamagana Bi #Fidelie.” Hivi karibuni Fid Q alisema ni mapema kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Czech aliyemzalia mtoto […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Fid Q apata mtoto wa kike, Fidelie
9 years ago
Bongo528 Sep
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbinu za kufanikisha elimu kwa mtoto wa kike
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TCEMN yataka ulinzi kwa mtoto wa kike
WAKATI nchi ikiwa inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba, mwaka huu, ulinzi kwa mtoto wa kike umetakiwa kuwa ajenda ya wanasisasa katika kampeni zao. Hayo yalisemwa jana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmKf0kkdyEuS87qxop2Sg-2w-s-70HQY4*SrBNfCyMVeWtWEDRUJYlwFzkaST-gWeyy8JpgQRGnZLzdsB0L8GWe/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AANZA MAANDALIZI KWA AJILI YA MTOTO WAKE WA KIKE
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike
11 years ago
Michuzi28 Feb
MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE
Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Fid Q atamani kuvunja rekodi ya mtoto wa Diamond
NA VICTORIA PATRIC (TSJ)
MSANII wa hip hop, Farid Kubanda (Fid Q), ametamani kuwa na wafuatiliaji wengi katika akaunti yake mpya kama atashindwa kuirudisha akaunti yake ya sasa iliyozuiwa na maharamia wa mtandao.
Akaunti ya msanii huyo kwa sasa inasomeka kwa jina la mrembo wa Tanzania 2007, Wema Sepetu, jambo ambalo linachanganya watu wengi.
“Hawa jamaa wanakatisha tamaa maana mimi nilikuwa natumia mtandao wangu kwa kujitangaza, kutangaza kazi zangu mpya na pia kuwasiliana na wadau wangu...