Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike
Luiz aliruhusiwa kuvalia nguo za kischana tangu alipokuwa na miaka mitatu baada ya wazazi wake kusadiki kwa ana jinsia mbili. Familia hiyo iliishia kuchunguzwa ili kubaini ikiwa ilikiuka haki ya mtoto huyo.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania