Mr Flavour kama Diamond, apata mtoto
WAKATI nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul (Diamond Platinum) akifurahia mtoto wake wa kwanza aliyempa jina la Tiffah, nyota mwenzake wa Nigeria, Flavour Nabania ‘Mr Flavour’ naye amepata mtoto.
Diamond Platinum na mpenzi wake, Zarina Hassani (Zari), wamefanikiwa kupata mtoto wa kike huku Mr Flavour na mpenzi wake, Anna Banner wakipata mtoto wa kiume.
Mtoto wa Mr Flavour amezaliwa Texas nchini Marekani akiwa ni mtoto wake wa pili, wa kwanza akiwa amezaa na mrembo, Sandra Okagbue,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MuEFkifYx5o/VWjY_Cc_09I/AAAAAAAHawQ/GwKh0_o4ZZ8/s72-c/20150529141110.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/cUgcPCEzTwE/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-8qjjL6NPXno/VWlw8ZPDttI/AAAAAAAABrM/I_BkZT0FLSQ/s72-c/1907718_936010043087477_5484258253055714229_n.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-qwsUoDmg9v4/VWmN9DNdJ_I/AAAAAAAABsY/VuAi4wbOwC0/s72-c/1907718_936010043087477_5484258253055714229_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Diamond, Flavour, katika kazi moja
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IflpfcHmq5I/default.jpg)
10 years ago
GPL30 May
9 years ago
Bongo516 Sep
Flavour kumshirikisha Diamond kwenye ngoma mpya