Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHOKI KUOA SOON

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MIEZI michache baada ya kufiwa na mkewe, aliyejulikana kama Mama Shuu, Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki amesema kutokana na kuishi na familia, atalazimika kuoa tena ‘very soon’. Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki “Nitaoa hivi karibuni maana nitaepukana na vishawishi na mambo mengine, pia mimi kama mwanaume...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ally Choki aonya

UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...

 

11 years ago

GPL

MACHANGU WAMVAA CHOKI

Stori: Mwandishi Wetu
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo. Staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ akiimba pamoja na madada hao. Tukio hilo lililoshobokewa na wanaume wakware, lilitokea wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Meeda,...

 

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA: SITAMSAMEHE CHOKI

Stori: Paparazi Wetu
MKURUGENZI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka, amesema kamwe hawezi kumsamehe mwanamuziki Ally Choki ambaye ni Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, ambaye ana bifu naye la muda mrefu. Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka akifunguka jambo katika ofisi za Global Publishers, zilizopo Bamaga Mwenge. Hivi karibuni habari zilienea kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

ALI CHOKI APAGAWISHA JAPAN

Mwimbaji mahili toka Tanzania Ali Choki akitoa burudani siku ya Jumamosi March 21, 2015 nchini Japan alipokua ameenda kwa ajili ya kukata kiu mashabiki wake huko. Katika safari hiyo Choki aliambatana na mcheza show super Nyamwela.Dada kutoka Peru akiitikia wimbo wa Ali Choki siku ya Jumamosi March 21, 2014 siku mwimbaji huyo mahili toka Bongo alipofanya vitu vyake nchini Japan.Choki akilishambulia Jukwaa.Mcheza show Super Nyamwela akilishambulia jukwaa.Wadau kutoka Kenya wakihudhuria onesho...

 

10 years ago

GPL

ALI CHOKI AFIWA NA MKEWE

Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki akipozi ndani ya Global TV Online. MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu Usiku wa kuamkia leo. Akizungumza kwa masikitiko Ali Choki alisema mke wake ameugua kwa muda wa miezi tisa akiwa anasumbuliwa na mguu ambapo alitibiwa nchini India ikashindikana akarudishwa nyumbani...

 

11 years ago

GPL

ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA

Stori: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi” amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwakani na wala hana mpango wa kuingia katika siasa. Mwanamuziki nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi”. Choki aliyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na waandishi wa Global Publishers katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Choki: Kuendesha bendi ni pasua kichwa

Wiki hii tasnia ya muziki wa dansi imeshuhudia msanii mkongwe katika dansi ya kizazi kipya nchini Komredi Ally Choki mwenye majina mengi yakiwamo ‘mzee wa farasi’ na ‘mzee wa kijiko’, akitangazwa kurudi katika bendi yake ya zamani, The African Stars band `Twanga Pepeta’.

 

10 years ago

Michuzi

Twanga kuwatambulisha Choki, Nyamwela Da’ West

Bendi ya African Stars maarufu kama Twanga Pepeta Ijumaa Juni 12 itafanya onyesho maalum la kumtambulisha mwanamuziki maarufu nchini Ali Choki na wengine waliorejea kwenye bendi hiyo.
Onyesho hilo litafanyika usiku katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.Mratibu wa onyesho hilo Joseph Kapinga wa Keen Arts na Bob Entertainment amesema kuwa onyesho hilo pia litakuwa ni la vunja jungu kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kapinga alisema pia Choki atatumia onyesho hilo kutambulisha nyimbo...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAPATANISHA CHOKI, ASHA BARAKA!

Stori: Nyemo Chilongani/Ijumaa Wikienda
WAMEPATANA! Hatimaye Kampuni ya Global Publishers inayochapa gazeti hili na mengine ya Ijumaa, Uwazi, Risasi, Amani na Championi imefanikiwa kuwapatanisha wale mahasimu wawili ambao ni viongozi wa bendi mbili tofauti, Mkurugenzi wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mwenzake wa Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo Staili’, Ali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani