Twanga kuwatambulisha Choki, Nyamwela Da’ West
![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s72-c/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Bendi ya African Stars maarufu kama Twanga Pepeta Ijumaa Juni 12 itafanya onyesho maalum la kumtambulisha mwanamuziki maarufu nchini Ali Choki na wengine waliorejea kwenye bendi hiyo.
Onyesho hilo litafanyika usiku katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.Mratibu wa onyesho hilo Joseph Kapinga wa Keen Arts na Bob Entertainment amesema kuwa onyesho hilo pia litakuwa ni la vunja jungu kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kapinga alisema pia Choki atatumia onyesho hilo kutambulisha nyimbo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fwpnZCBDhTZf4HBsHmhx5QgIDEvt7Qwlp5x3NdUEW1v2kkrW-tFIsJZSYM0hSdcNDgq9Iyg5GRJumKK7Xg9SyO/breakingnews.gif)
CHOKI, NYAMWELA WATUA RASMI TWANGA PEPETA
10 years ago
MichuziAlly Choki na Super Nyamwela warudisha majeshi Twanga Pepeta
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VTJCahUENlI/U9D3UsgvX0I/AAAAAAAF5tQ/bSrm26FVARU/s72-c/unnamed.jpg)
Twanga kuwatambulisha waliotoka Extra Bongo na Malaika,Idd Mosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-VTJCahUENlI/U9D3UsgvX0I/AAAAAAAF5tQ/bSrm26FVARU/s1600/unnamed.jpg)
Hayo yalisemwa na kiongozi wa bendi hiyo Luizer Mbutu kwnye mazoezi ya bendi hiyo yanaoyendelea kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jana. Mbutu aliwataja wanenguaji hao kuwa ni Maria Soloma, Sabrina Mathew na Isaack Burhani maarufu kwa jina la Danger Boy. Mnenguaji aliyetokea bendi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhdFhtIHb98iOZfJE20xWAixwooCLJTYsAMmb-z8GoBjwW0bnF2ndzAqF0eQnq-EEUbZTRSIrtmqLAk*2eVhgMq2/1.jpg)
CHOCKY, NYAMWELA WAREJEA ‘TWANGA’ KWA MBWEMBWE, CHEREKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI028hFgawJOo0rSapr8Vo6rVwgXVUFCbAfWZ3VzZEOuKDeK9*ZpcaxYeruGIw7EeABDZ35ASK1iKhbCPhw*aob6/TWANGA3.jpg?width=650)
TWANGA PEPETA WANASWA WAKIJIFUA KWA AJILI YA UTAMBULISHO WA CHOKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXXDM9jruGHRY0wWMUvpIJCEY-mfIfRuML6NfxA-UvITAkxB8sg2x1DNNYIJnEVaOWrbY*QUkCYAxXV-7ttvM2CU/NYAMELA.jpg)
NYAMWELA ALALAMIKIA WIVU WA MKEWE
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Simba yajipanga kuwatambulisha wapya
WACHEZAJI wapya wa Simba kutoka Burundi, Emery Nimubona ‘Petty’ na Laudit Mavugo wanatarajia kuwasili nchini wiki moja kabla ya Bonanza la Simba (Simba Day) linalotarajia kufanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Nyota hao wa kikosi cha timu ya taifa Burundi ‘Inthamba Murugamba’, wamesajiliwa na Simba kwa ajili msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema kuwa wachezaji hao wameshindwa kuwasili nchini mapema kutokana na...
9 years ago
Bongo524 Aug
Super Nyamwela kuanzisha chuo cha dansi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pPtTCqgrQ_Y/Va-fbIvoD9I/AAAAAAAHrCw/WtHRij4M80o/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Dk. Willibroad Slaa atua mwanza kuwatambulisha lembeli na bulaya leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-pPtTCqgrQ_Y/Va-fbIvoD9I/AAAAAAAHrCw/WtHRij4M80o/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2GXV1VSGNNU/Va-fbYQSwLI/AAAAAAAHrC0/cPs9v0qFtW8/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNpfCU8nQVc/Va-gEvMGMFI/AAAAAAAHrDI/yUtlgjUyIf0/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)