Twanga kuwatambulisha waliotoka Extra Bongo na Malaika,Idd Mosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-VTJCahUENlI/U9D3UsgvX0I/AAAAAAAF5tQ/bSrm26FVARU/s72-c/unnamed.jpg)
Bendi ya African Stars’ Wana Twanga Pepeta, itawatambulisha rasmi wanenguaji wake watatu waliotoka bendi ya Extra Bongo na bendi ya Malaika siku ya Idd Mosi kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni.
Hayo yalisemwa na kiongozi wa bendi hiyo Luizer Mbutu kwnye mazoezi ya bendi hiyo yanaoyendelea kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jana. Mbutu aliwataja wanenguaji hao kuwa ni Maria Soloma, Sabrina Mathew na Isaack Burhani maarufu kwa jina la Danger Boy. Mnenguaji aliyetokea bendi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Twanga kutambulisha wapya Idd Mosi Dar
BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ imepanga kutambulisha rasmi wanenguaji wapya watatu waliotokea Extra Bongo na Malaika siku ya onyesho lake la Idd Mosi katika ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni,...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Twanga yawaponza wawili Extra Bongo
UONGOZI wa bendi ya Extra Bongo, umewafungashia virago nyota wao wawili; Maria Soloma na Danger Boy kwa utovu wa nidhamu. Nyota hao maarufu kwa kumiliki jukwaa, wamekumbana na rungu hilo baada...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Wadhamini wakaribishwa kuzipambanisha African Stars ‘Twanga Pepeta’, Extra Bongo
MWISHO wa tambo za nani mkali kati bendi hasimu za muziki wa dansi, African Stars ‘Twanga Pepeta’ na Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa ‘Kimbembe’ zinaweza kumalizwa kwa bendi hizo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Extra Bongo ‘kuhamia’ Kanda ya Ziwa Idd
MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki jana ametoa ratiba ya maonyesho ya bendi yao wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Idd. Choki alisema katika onyesho la kwanza siku ya...
11 years ago
GPLEXTRA BONGO KUHAMIA MIKOANI SIKUKUU YA IDD
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s72-c/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Twanga kuwatambulisha Choki, Nyamwela Da’ West
![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s640/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Onyesho hilo litafanyika usiku katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.Mratibu wa onyesho hilo Joseph Kapinga wa Keen Arts na Bob Entertainment amesema kuwa onyesho hilo pia litakuwa ni la vunja jungu kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kapinga alisema pia Choki atatumia onyesho hilo kutambulisha nyimbo...
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Mfungo wafuta maonyesho Extra, Twanga Pepeta
KATIKA kuheshimu mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, baadhi ya bendi zimesitisha maonyesho yake zikitumia nafasi hiyo kujipanga zaidi kwa lengo la kuongeza makali yao. Kwa upande wa bendi ya...
10 years ago
GPLWATOTO WALIVYOKULA BATA IDD MOSI DAR LIVE