Super Nyamwela kuanzisha chuo cha dansi
Muimbaji na mnenguaji mkongwe wa muziki wa dansi, Hassan Musa aka Super Nyamwela amesema ana ndoto ya kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kucheza muziki. Akiongea na E-Newz Nyamwela amesema utaratibu maalum wa wale wote wenye ndoto za kujiendeleza kupitia dansi utawekwa wazi hivi karibuni kwa gharama ambazo watazimudu. Amedai lengo lake ni kuipeleka mbali […]
Bongo5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania