UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta
SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Nov
UDA kunoa madereva, makondakta
KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Uda kuwachunguza madereva, makondakta wake
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa
WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona
ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v5W6fy-F3K4/VFnyI92QF1I/AAAAAAACuWM/ClC2ohI5VaU/s72-c/unnamed.jpg)
UDA yawanoa madereva, makondakta kuleta ufanisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5W6fy-F3K4/VFnyI92QF1I/AAAAAAACuWM/ClC2ohI5VaU/s1600/unnamed.jpg)
Wakazi wa Dar es Salaam wataanza kupokea huduma zilizoboreshwa zaidi kila watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hii inatokana na mafunzo ya mwezi mmoja yanayotolewa na shirika kwa madereva, makondakta pamoja na wafanyakazi wengine wa shirika hilo.
Akizungumza wakati wa ziara fupi ya waandishi wa habari katika makao makuu ya UDA jijini Dar es Salaam...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
10 years ago
Mwananchi05 May
Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala
9 years ago
Bongo524 Aug
Super Nyamwela kuanzisha chuo cha dansi
10 years ago
Habarileo08 Dec
Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili
CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.