Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta

SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

UDA kunoa madereva, makondakta

KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Uda kuwachunguza madereva, makondakta wake

Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), limezindua wiki ya huduma kwa wateja yenye kaulimbiu ya ‘Safiri Salama’, lengo kuu likiwa ni kuchunguza na kubaini uhusiano uliopo kati ya abiria na makondakta wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa

WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona

ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...

 

10 years ago

Michuzi

UDA yawanoa madereva, makondakta kuleta ufanisi

Fundi wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) akifanyia marekebisho moja ya mabasi ya shirika hilo.  
Wakazi wa Dar es Salaam wataanza kupokea huduma zilizoboreshwa zaidi kila watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hii inatokana na mafunzo ya mwezi mmoja yanayotolewa na shirika kwa madereva, makondakta pamoja na wafanyakazi wengine wa shirika hilo.
Akizungumza wakati wa ziara fupi ya waandishi wa habari katika makao makuu ya UDA jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali kiitwacho Tilonia, Wilaya ya  Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa  katika siku ya pili ya ziara yake nchni India pamoja na ujumbe aliofuatana nao.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Affani Othman Maalim (kulia) kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala

Wakati jana Taifa lilishuhudia mgomo wa madereva wanaodai mambo mbalimbali ikiwamo mikataba ya ajira na mshahara wa Sh250,000 kwa mwezi na kupinga kwenda kwa mara nyingine katika shule ya udereva, imebainika kuwa wengi wao hasa wa daladala, huingiza kati ya Sh900,000 hadi Sh1,050,000 kwa mwezi.

 

9 years ago

Bongo5

Super Nyamwela kuanzisha chuo cha dansi

Muimbaji na mnenguaji mkongwe wa muziki wa dansi, Hassan Musa aka Super Nyamwela amesema ana ndoto ya kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kucheza muziki. Akiongea na E-Newz Nyamwela amesema utaratibu maalum wa wale wote wenye ndoto za kujiendeleza kupitia dansi utawekwa wazi hivi karibuni kwa gharama ambazo watazimudu. Amedai lengo lake ni kuipeleka mbali […]

 

10 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili

CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani