Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa

WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

UDA kunoa madereva, makondakta

KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Uda kuwachunguza madereva, makondakta wake

Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), limezindua wiki ya huduma kwa wateja yenye kaulimbiu ya ‘Safiri Salama’, lengo kuu likiwa ni kuchunguza na kubaini uhusiano uliopo kati ya abiria na makondakta wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona

ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...

 

10 years ago

Michuzi

UDA yawanoa madereva, makondakta kuleta ufanisi

Fundi wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) akifanyia marekebisho moja ya mabasi ya shirika hilo.  
Wakazi wa Dar es Salaam wataanza kupokea huduma zilizoboreshwa zaidi kila watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hii inatokana na mafunzo ya mwezi mmoja yanayotolewa na shirika kwa madereva, makondakta pamoja na wafanyakazi wengine wa shirika hilo.
Akizungumza wakati wa ziara fupi ya waandishi wa habari katika makao makuu ya UDA jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta

SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala

Wakati jana Taifa lilishuhudia mgomo wa madereva wanaodai mambo mbalimbali ikiwamo mikataba ya ajira na mshahara wa Sh250,000 kwa mwezi na kupinga kwenda kwa mara nyingine katika shule ya udereva, imebainika kuwa wengi wao hasa wa daladala, huingiza kati ya Sh900,000 hadi Sh1,050,000 kwa mwezi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maofisa takwimu wapigwa msasa

MAOFISA 50 kutoka idara za takwimu katika wizara, taasisi na vyuo vikuu vya serikali wanakutana jijini Arusha kupata mafunzo ya jinsi ya kuchambua takwimu za sensa ya watu na makazi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanawake Vodacom wapigwa msasa

003 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea  kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.

004 NBC

002 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ma-RC, DC wapigwa msasa sera ya madini

WIZARA ya Nishati na Madini imefaya mkutano wake wa kwanza uliowashirikisha wakuu wa mikoa, wilaya na taasisi za dini, ili kukumbushana na kujenga uwezo katika kujua sera ya madini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani