Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maofisa takwimu wapigwa msasa

MAOFISA 50 kutoka idara za takwimu katika wizara, taasisi na vyuo vikuu vya serikali wanakutana jijini Arusha kupata mafunzo ya jinsi ya kuchambua takwimu za sensa ya watu na makazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI NCHINI WAPIGWA MSASA

 Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini,Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za "CNN MultiChoice African Journalist of the Year 2008" akisisitiza jambo wakati wa Semina ya simu moja kwa wanahabari wa Tanzania juu ya namna wanavyopaswa kufanya kazi zao,iliyofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.Semina hiyo imekuja ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika wa shughuli ya utoaji tuzo hizo za "CNN MultiChoice African Journalist of the...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ma-RC, DC wapigwa msasa sera ya madini

WIZARA ya Nishati na Madini imefaya mkutano wake wa kwanza uliowashirikisha wakuu wa mikoa, wilaya na taasisi za dini, ili kukumbushana na kujenga uwezo katika kujua sera ya madini ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanawake Vodacom wapigwa msasa

003 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea  kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.

004 NBC

002 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAMILIKI WA BLOGS NCHINI WAPIGWA MSASA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akiwahutubia wamiliki mbalimbali wa Blogs za Tanzania kuhusu Mwongozo uliotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuelekea katika Uchaguzi Mkuu hapo mwakani katika mkutano na wamiliki hao leo 11 Oktoba, 2014 uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Mlimani City jijini Dar es Salaam.Mhandisi Mkuu wa masuala ya Utangazaji toka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Andrew Kisaka akichangia mada kuhusu Mwongozo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa sanaa wapigwa msasa VVU

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), kupitia programu yake ya kila wiki ya Jukwaa la Sanaa, limetoa elimu kwa wasanii pamoja na wadau wa sanaa kuhusu virusi vinavyosababisha ukimwi (VVU)...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa

WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji nyuki Sikonge wapigwa msasa

SERIKALI Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora imesema itaendelea kuboresha na kuongeza thamani ya zao la Nyuki huku ikiagiza kila kaya kuwa na mizinga miwili ili kujiongezea kipato. Hayo yalisemwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa mafuta na gesi ‘wapigwa msasa’

KAMPUNI ya MDT kwa kushirikiana na Calderberg International Enegy Corporation imeandaa kozi maalumu kuhusiana na gesi na mafuta nchini kwa ajili ya wadau wa sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA WAFANYAKAZI JIJINI MWANZA WAPIGWA MSASA

Katibu wa TUCTA Taifa,Nicolaus Mgaya akizungumza wakati wa kufungua Semina ya Viongozi wa Vyama vya wafanyakazi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa CWT Mkoa wa Mwanza.wengine pichani toka kushoto ni Mkuu wa Mawasilano wa SSRA), Sarah Kibonde Msika,Mwenyekiti wa TUCTA (M) Mwanza,Yusuph Simbaulanga na Katibu wa TUCTA Mkoa wa Mwanza, Evarist Mwalongo. Mkuu wa Mawasiliano wa SSRA,Sarah Kibonde akiwasilisha mada katika Semina hiyo. Semina inaendelea hapa na Washiriki wakiwa wametulia tuliii. Bw....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani