Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WA WAFANYAKAZI JIJINI MWANZA WAPIGWA MSASA

Katibu wa TUCTA Taifa,Nicolaus Mgaya akizungumza wakati wa kufungua Semina ya Viongozi wa Vyama vya wafanyakazi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa CWT Mkoa wa Mwanza.wengine pichani toka kushoto ni Mkuu wa Mawasilano wa SSRA), Sarah Kibonde Msika,Mwenyekiti wa TUCTA (M) Mwanza,Yusuph Simbaulanga na Katibu wa TUCTA Mkoa wa Mwanza, Evarist Mwalongo. Mkuu wa Mawasiliano wa SSRA,Sarah Kibonde akiwasilisha mada katika Semina hiyo. Semina inaendelea hapa na Washiriki wakiwa wametulia tuliii. Bw....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wachoma Nyama jijini Mwanza wapigwa msasa na Safari Lager

KAMPUNI ya Bia Tanzania(TBL) kupitia kinywaji chake cha Safari Lager jana imetoa mafunzo kwa wachoma nyama kutoka Baa mbali mbali za Mkoa wa Mwanza ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma kwa mwaka 2014 yatakayo fanyika katika viwanja vya Furahisha.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja matukio wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Ziwa, Erick Mwayela, alisema lengo la kutoa mafunzo ni kutoa elimu kwa wachoma nyama ukizingatia uchomaji nyama ni moja sehemu ya...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KATA NA MITAA WA MANISPAA YA DODOMA WAPIGWA MSASA JUU YA USIMAMIZI UENDELEZAJI WA MJI HUO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifungua warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena Mjini Dodoma. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA Ndg. Paskasi Muragili akitoa maelezo ya ufafanuzi juu ya warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

PPRA YAWAPIGA MSASA WAFANYAKAZI WA TIA KUHUSU SHERIA MPYA YA MANUNUZI JIJINI DAR

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA) Dkt.Joseph .M.Kihanda mwenye suti nyeusi(waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mafunzo maalum kuhusu sheria mpya ya manunuzi ya umma yaani PPA 2011 na kanuni zake PPR.2013 ambao ni wadau wa kitengo cha manunuzi kinachosimamiwa na Bi.Juliana Musomi,Pius Seda,Salha Tego,Dickson Biya,Ezra Obilla,Kennedy Ndosi,Zubeda Mohamed,Alton Kumburu  na Stephen Mahinya),wajumbe wa bodi ya zabuni ya Taasisi hiyo ambao ni Bw.Zodo...

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akizungumza na wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara. Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya, akitoa maelezo ya umuhimu wa kuvaa viatu vya usalama wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akimpongeza Nickson Cheka(kulia) baada ya kujibu vizuri maswali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanawake Vodacom wapigwa msasa

003 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea  kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.

004 NBC

002 NBC

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ma-RC, DC wapigwa msasa sera ya madini

WIZARA ya Nishati na Madini imefaya mkutano wake wa kwanza uliowashirikisha wakuu wa mikoa, wilaya na taasisi za dini, ili kukumbushana na kujenga uwezo katika kujua sera ya madini ya...

 

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI NCHINI WAPIGWA MSASA

 Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini,Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za "CNN MultiChoice African Journalist of the Year 2008" akisisitiza jambo wakati wa Semina ya simu moja kwa wanahabari wa Tanzania juu ya namna wanavyopaswa kufanya kazi zao,iliyofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.Semina hiyo imekuja ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika wa shughuli ya utoaji tuzo hizo za "CNN MultiChoice African Journalist of the...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maofisa takwimu wapigwa msasa

MAOFISA 50 kutoka idara za takwimu katika wizara, taasisi na vyuo vikuu vya serikali wanakutana jijini Arusha kupata mafunzo ya jinsi ya kuchambua takwimu za sensa ya watu na makazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa sanaa wapigwa msasa VVU

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), kupitia programu yake ya kila wiki ya Jukwaa la Sanaa, limetoa elimu kwa wasanii pamoja na wadau wa sanaa kuhusu virusi vinavyosababisha ukimwi (VVU)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani