UDA yawanoa madereva, makondakta kuleta ufanisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5W6fy-F3K4/VFnyI92QF1I/AAAAAAACuWM/ClC2ohI5VaU/s72-c/unnamed.jpg)
Fundi wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) akifanyia marekebisho moja ya mabasi ya shirika hilo.
Wakazi wa Dar es Salaam wataanza kupokea huduma zilizoboreshwa zaidi kila watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hii inatokana na mafunzo ya mwezi mmoja yanayotolewa na shirika kwa madereva, makondakta pamoja na wafanyakazi wengine wa shirika hilo.
Akizungumza wakati wa ziara fupi ya waandishi wa habari katika makao makuu ya UDA jijini Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Nov
UDA kunoa madereva, makondakta
KERO za makondakta ikiwemo matusi na lugha chafu kwa abiria, zimesababisha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kuamua kuanzisha chuo cha usafirishaji kitakachoitwa UDA Academy, kitakachotoa elimu kwa madereva na makondakta wake na wananchi watakaotaka kusomea fani ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Uda kuwachunguza madereva, makondakta wake
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Madereva, makondakta UDA wapigwa msasa
WAKAZI wa Dar es Salaam, wataanza kupata huduma zilizoboreshwa watakapotumia mabasi yanayomilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) baada ya madereva na makondakta kupatiwa mafunzo ya mwezi mmoja....
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Madereva, makondakta wakorofi UDA kukiona
ABIRIA wa mabasi jijini Dar es Salaam, wameshauriwa kusaidia kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva na makondakta kwa kupiga simu zilizochapishwa katika mabasi yote ya...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta
SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...
10 years ago
Mwananchi05 May
Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s72-c/IMG-20140526-WA0016.jpg)
MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s1600/IMG-20140526-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R3EUhm-Z0Lc/U4NpC2-vc-I/AAAAAAAAN-Q/JQ5QCy3m8Z8/s1600/IMG-20140526-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZJwscue9NBg/U4NpGERHB_I/AAAAAAAAN-Y/JdwiftCX7hY/s1600/IMG-20140526-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5d51-toaWSg/U4NpMJllmqI/AAAAAAAAN-w/K6oyDnM00Gc/s1600/IMG-20140526-WA0028.jpg)
9 years ago
StarTV06 Jan
Serikali yapanga kujenga makazi ya watumishi ili kuleta Ufanisi Wa Kazi
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amesema Wizara yake inaangalia uwezekano wa kushirikiana na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI na ile ya Utumishi wa Umma kuhakikisha watumishi wa Umma wanakuwa na nyumba bora ili kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Amesema watumishi wanaoishi vijijini ndiyo wanaoathirika zaidi kutokana na kukosa makazi bora hatua inayowafanya wengi wao kushindwa kumudu kufanya kazi zao na...
9 years ago
StarTV15 Dec
CCM chakabidhi usafiri kwa watendaji Njombe ili kuleta ufanisi katika maendeleo
Katika kuhakikisha shughuli za Maendeleo zinafanyika kwa kufuata kauli mbiu ya Rais John Pombe Magufuli, Chama cha Mapinduzi CCM, kimekabidhi vifaa vya usafiri kwa watendaji wake wa jimbo la Njombe vikiwemo .
Watendaji hao wakiwemo makatibu kata na viongozi wa matawi wamepewa pikipiki na baiskeli zenye thamani ya shilingi milioni 45 msaada ambao umetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa na Mbunge wa Jimbo la Makambako Deo Sanga kutimiza ahadi aliyoitoa kabla ya uchaguzi.
Akikabidhi vifaa hivyo...