MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s72-c/IMG-20140526-WA0016.jpg)
Mkaguzi kutoka Sumatra akiongea na Vyombo vya habari na madereva na makondakta
Kamanda wa Polisi kinondoni akitoa mrejesho kwa waandishi wa habari baada ya kuweza kukubaliana na Madereva na Makondakta kutumia barabara kuu kwa siku mbili ili wakati wakiendelea kushughulikia utaratibu wa kutengenezwa kwa barabara za ndani ambazo walikuwa wanapaswa kuzitumia
Abiria wanaotumia njia ya makumbusho kuelekea Mwenge wakitokea Tandika na Mbagala jijini Dar es salaam leo wameonja Joto ya jiwe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
10 years ago
Mwananchi05 May
Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala
10 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
10 years ago
Bongo504 May
Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Barabara-ya-Kawawa-maeneo-ya-Kinondoni-Biafra-hali-ilivyoonekana..jpg?width=650)
KISA UCHAGUZI...MADEREVA DALADALA DAR WALIA KUKOSA ABIRIA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ti8WAWSsShQ/default.jpg)
10 years ago
GPLYALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Madereva wa mabasi ya abiria kugoma tena wiki hii
Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...