Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge
Eneo ambalo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
11 years ago
Mwananchi30 May
Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s72-c/IMG-20140526-WA0016.jpg)
MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s1600/IMG-20140526-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R3EUhm-Z0Lc/U4NpC2-vc-I/AAAAAAAAN-Q/JQ5QCy3m8Z8/s1600/IMG-20140526-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZJwscue9NBg/U4NpGERHB_I/AAAAAAAAN-Y/JdwiftCX7hY/s1600/IMG-20140526-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5d51-toaWSg/U4NpMJllmqI/AAAAAAAAN-w/K6oyDnM00Gc/s1600/IMG-20140526-WA0028.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Jan
11 years ago
CloudsFM29 May
KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.
11 years ago
GPL03 Jun
WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
11 years ago
Habarileo30 May
Kituo cha daladala Mwenge kufungwa
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.
11 years ago
GPLMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA MBALIMBALI KWA WATOTO YATIMA WANAOLELEA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANS HOME CHA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM