Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Sumatra kuhamisha kituo cha Daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho.

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo

unnamed

Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.

unnamed (1)

 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.

unnamed (2)

 Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.

unnamed (3)

Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.

unnamed (4)

Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.

unnamed (5)

Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.

unnamed (6)

unnamed (7)

 Bajaji zikiendelea na Kazi.

unnamed (8)

 Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...

 

11 years ago

GPL

BOMOABOMOA KITUO CHA MABASI MWENGE

Mgambo wa jiji pamoja na wanausalama wakisimamia zoezi la ubomoaji wa vibanda eneo la Mwenge, Dar. Zoezi la ubomoaji likiendelea. (Picha na Gladness Mallya /…

 

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

11 years ago

CloudsFM

KALAPINA APATA TENDA YA KUSIMAMIA ULINZI NA USAFI KATIKA KITUO KIPYA CHA MABASI MAKUMBUSHO

STAA wa Hip Hop Bongo,ambaye pia ni kiongozi wa kundi la Kikosi Cha Mizinga, Mtu Mzima Kalapina anatumia vizuri uaminifu alioupata kutoka kwa wananchi kutokana na muziki.

Siku ya jana Kalapina ameanza kutumikia tenda ya ulinzi na usafi katika kituo kipya cha Makumbusho, Jijini Dar es salaam, kituo ambacho kimechukua nafasi ya kituo cha mabasi cha Mwenge.

 

11 years ago

Mwananchi

Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki

Dar es Salaam. Wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana walikumbwa na taharuki baada ya kituo cha daladala cha Mwenge kuhamishiwa eneo la Makumbusho .

 

11 years ago

Habarileo

Kituo cha daladala Mwenge kufungwa

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.

 

11 years ago

CloudsFM

KALAPINA NUSURA APORWE ‘DILI’ LA KUSIMAMIA ULINZI KITUO KIPYA CHA MAKUMBUSHO

STAA wa Hip Hop Bongo,ambaye pia ni kiongozi wa kundi la Kikosi Cha Mizinga,Kalapina ambaye hivi karibuni kupitia kampuni yake ya Kikosi Security alipata dili la kusimamia ulinzi na kusafisha kituo kipya cha mabasi cha Makumbusho.

Ukifika katika kituo hicho ukikutana na jamaa ambao ni vipande aliojazia (Mabaunsa)huku vikiwa na uniform ujue hao vijana wa Kalapina, sasa muda mfupi baada ya kupata dili hilo Kalapina amedai kuwa kuna mtu alimfanyia fitna ili atoswe kwenye mchongo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani