Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo

unnamed

Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.

unnamed (1)

 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.

unnamed (2)

 Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.

unnamed (3)

Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.

unnamed (4)

Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.

unnamed (5)

Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.

unnamed (6)

unnamed (7)

 Bajaji zikiendelea na Kazi.

unnamed (8)

 Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

11 years ago

GPL

BOMOABOMOA KITUO CHA MABASI MWENGE

Mgambo wa jiji pamoja na wanausalama wakisimamia zoezi la ubomoaji wa vibanda eneo la Mwenge, Dar. Zoezi la ubomoaji likiendelea. (Picha na Gladness Mallya /…

 

11 years ago

CloudsFM

KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kigoda: Wafanyabiashara tumieni kituo cha biashara mnufaike

YAPO mambo ambayo ni lazima kufanyika kama kweli muhusika anataka kupata mafanikio…na haya hayajalishi muhusika anafanya nini au yuko wapi. Moja ya mambo hayo ni kujifunza mbinu mpya na maarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Mwenge walia kituo kuhama

WAFANYABIASHARA wa eneo la Kituo cha Daladala Mwenge, Dar es Salaam, wameilalamikia serikali kwa kuhamisha kituo hicho na kukipeleka Makumbusho kwa kuwa sasa biashara zao zimedorora. Wakizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Habarileo

Kituo cha daladala Mwenge kufungwa

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kuhamisha kituo maarufu cha daladala cha Mwenge kwenda eneo la Makumbusho.

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Sumatra kuhamisha kituo cha Daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho.

 

9 years ago

Dewji Blog

Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19

home gymKituo cha Mazoezi cha Home Gym…

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa  kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea  wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.

Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani