Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigoda: Wafanyabiashara tumieni kituo cha biashara mnufaike

YAPO mambo ambayo ni lazima kufanyika kama kweli muhusika anataka kupata mafanikio…na haya hayajalishi muhusika anafanya nini au yuko wapi. Moja ya mambo hayo ni kujifunza mbinu mpya na maarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo

unnamed

Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.

unnamed (1)

 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.

unnamed (2)

 Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.

unnamed (3)

Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.

unnamed (4)

Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.

unnamed (5)

Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.

unnamed (6)

unnamed (7)

 Bajaji zikiendelea na Kazi.

unnamed (8)

 Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA BIASHARA CHA KIMATAIFA (WTC) CHAFUNGULIWA RASMI NEW YORK, MAREKANI

Taswira za Kituo cha Biashara cha Kimataifa, WTC. KITUO cha Biashara cha Kimataifa, WTC kimefunguliwa rasmi kwa shughuli za kibiashara jijini New York nchini Marekani jana. Kituo hicho kimefunguliwa baada ya miaka 13 tangu majengo ya awali kulipuliwa katika shambulio la kigaidi lililotokea Septemba 11, 2001. Majengo ya kituo hicho yana thamani ya dola za Kimarekani bilioni 3.8 na yamechukua muda wa miaka nane… ...

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha biashara kusaidia kuongeza ajira

KITUO cha Kimataifa cha Biashara (ITC) kimesema kipo tayari kutumia rasilimali zilizopo Zanzibar kuisaidia serikali kutekeleza mkakati wake wa kuongeza ajira kwa vijana na wanawake.

 

11 years ago

GPL

TUMIENI MFUMO ENDELEVU WA BIASHARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB Tanzania Moezz Mir,akiongea na wateja wa benki hiyo wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa mahususi kwa wateja wao hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara changamkieni fursa Afrika Kusini — Kigoda

WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kuchangamkia fursa za biashara nchini Afrika Kusini, ili kusaidia kuleta uwiano wa kibiashara kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19

home gymKituo cha Mazoezi cha Home Gym…

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa  kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea  wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.

Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...

 

5 years ago

Michuzi

KITUO CHA FARAJA SINGIDA CHACHU YA MAPAMBANO DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA ULANGUZI WA BINADAMU, WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

Na Godwin Myovela, SingidaSUALA la kupambana na biashara haramu ya ulanguzi wa binadamu sambamba na kusaidia watoto waishio katika mazingira magumu vinapaswa kupewa msukumo wa kipekee kuanzia ngazi ya kaya mpaka taifa ili kulinda wahanga- hususani makundi ya watoto na wasichana ambao wengi wao hujikuta wakitumbukia katika majanga mbalimbali ikiwemo kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa kigezo cha umaskini.Akizungumza kwenye kilele cha siku ya wanawake, mkoani hapa , mratibu wa Mradi kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

Ndugu Ray Power, ambaye amewahi kuwa Kocha wa Chama Cha Soka na mkuu wa kitengo cha mpira wa miguu katika chuo kiitwacho Central College Nottingham; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika Kituo cha Vijana cha Michezo kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam (pichani). Katika nafasi yake mpya, Ndugu Power atasimamia mafunzo na Uongozi wa kituo kipya ambacho kinategemewa kufunguliwa tarehe 19 ya Mwezi huu. Ndugu Power anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani