KITUO CHA BIASHARA CHA KIMATAIFA (WTC) CHAFUNGULIWA RASMI NEW YORK, MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/MjaBUKKxWIVyxYiyosUUIEMnzHoh-jS1CpLaqwk6CYe6DiiCmZd48VnyUCpQ0iSGaG13jbSXEri89SOr2b9vtVsGNS3lpdps/GTY_freedom_tower_world_trade_center_sk_140320_4x3_992.jpg?width=650)
Taswira za Kituo cha Biashara cha Kimataifa, WTC. KITUO cha Biashara cha Kimataifa, WTC kimefunguliwa rasmi kwa shughuli za kibiashara jijini New York nchini Marekani jana. Kituo hicho kimefunguliwa baada ya miaka 13 tangu majengo ya awali kulipuliwa katika shambulio la kigaidi lililotokea Septemba 11, 2001. Majengo ya kituo hicho yana thamani ya dola za Kimarekani bilioni 3.8 na yamechukua muda wa miaka nane… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kituo cha tembo yatima chafunguliwa TZ
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Kituo cha treni chafunguliwa Budapest
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
WTC yafunguliwa rasmi jijini New York
10 years ago
StarTV06 Jun
Kituo cha tembo yatima chafunguliwa nchini.
Tanzania imeanzisha kituo cha kwanza cha tembo yatima mjini Arusha.
Kituo hicho kinatarajiwa kuhifadhi watoto wa tembo waliopoteza wazazi wao kutokana na vitendo vya ujangili au sababu nyengine.
Hatua ya serikali ya kuanzisha kituo hicho inakuja baada ya utafiti wa serikali kubaini kuwa Tanzania hupoteza takriban tembo 30 kila siku.
Kituo hicho kinatarajiwa kutoa uangalizi kwa tembo wadogo wapatao 40, na watahifadhiwa mpaka watakapokuwa wakubwa na hatimae kurudishwa katika mazingira yao...
10 years ago
MichuziTRA KUCHAMBUA RIPOTI YA KITUO CHA UTAFITI CHA KODI CHA KIMATAIFA (ICTD)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s72-c/1.jpg)
WAZIRI DKT. MAHIGA ATEMBELEA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA AICC JIJINI ARUSHA
Balozi Mahiga alisema hayo Desemba 19 baada ya kufanya ziara kwenye eneo hilo na Kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC .
Eneo hilo litajengwa Mahakama ya Kimataifa ya Kimbari(MICT)Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR) na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WHAhDZYkvwU/VSFVeJjcKHI/AAAAAAAHPXs/MnMskgkKUlk/s72-c/w1.jpg)
Rais Kikwete atoa Mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson
![](http://3.bp.blogspot.com/-WHAhDZYkvwU/VSFVeJjcKHI/AAAAAAAHPXs/MnMskgkKUlk/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qI27-gL5UbY/VSFVfX-DdYI/AAAAAAAHPX0/XsD4Jbg6IFg/s1600/w3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--W2mcLGOBf8/VSFVi2Q6wfI/AAAAAAAHPX8/1PHdHqRsExQ/s1600/w5.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jun
DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI
5 years ago
BBCSwahili29 May
Mauaji ya George Floyd: Waandamanaji wakichoma moto kituo cha polisi cha Minneapolis, Marekani