SUMATRA: KITUO CHA DALADALA MWENGE KUHAMIA MAKUMBUSHO MWEZI UJAO
![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
11 years ago
CloudsFM29 May
KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.
11 years ago
GPL03 Jun
WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
11 years ago
Habarileo30 May
Kituo cha daladala Mwenge kufungwa
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.
11 years ago
CloudsFM30 May
KITUO CHA DALADALA MWENGE KUFUNGWA RASMI JUMAPILI HII
Wamiliki, madereva na abiria wote mnatangaziwa kuwa kituo cha daladala Mwenge kitafungwa rasmi siku ya Jumapili jioni tarehe 01.06.2014. Kuanzia siku ya jumatatu asubuhi tarehe 02.06.2014 kituo kitakachokuwa kinatumika ni Makumbusho tu.
Sababu kubwa ya kufunga kituo hicho ni ufinyu wa eneo hilo jambo linalochangia dadalada kushindwa kuingia kituoni kwa wakati hasa vipindi vya asubuhi na jioni hivyo kusababaisha foleni kubwa katika eneo la Mwenge.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa eneo hilo...
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Kituo cha daladala Mwenge pamoja na vibanda vya pembeni vyabomolewa
Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo.
Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa.
Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge.
Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea.
Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa.
5 years ago
Bongo514 Feb
Sumatra yatoa ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho-Mnazi Mmoja
Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imetolea ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho- Mnazi mmoja kupitia Kambarage, Shekilango na Kigogo.
Ifuatayo ni taarifa ya mchanganuo wa nauli za daladala katika maeneo hayo;
Na Emmy Mwaipopo
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp