KITUO CHA DALADALA MWENGE KUFUNGWA RASMI JUMAPILI HII
Wamiliki, madereva na abiria wote mnatangaziwa kuwa kituo cha daladala Mwenge kitafungwa rasmi siku ya Jumapili jioni tarehe 01.06.2014. Kuanzia siku ya jumatatu asubuhi tarehe 02.06.2014 kituo kitakachokuwa kinatumika ni Makumbusho tu.
Sababu kubwa ya kufunga kituo hicho ni ufinyu wa eneo hilo jambo linalochangia dadalada kushindwa kuingia kituoni kwa wakati hasa vipindi vya asubuhi na jioni hivyo kusababaisha foleni kubwa katika eneo la Mwenge.
Kwa mujibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa eneo hilo...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 May
Kituo cha daladala Mwenge kufungwa
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kufunga kituo cha daladala cha Mwenge, Jumapili, Juni Mosi mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi30 May
Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Kituo cha daladala Mwenge pamoja na vibanda vya pembeni vyabomolewa
Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo.
Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa.
Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge.
Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea.
Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa.
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
10 years ago
Michuzi25 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s72-c/IMG_1807.jpg)
kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja
![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s1600/IMG_1807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4gtj6y_ioUo/UwUYJ5jk44I/AAAAAAAFOH0/DduTi2ws6-I/s1600/IMG_1809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8H9e7pwH4c/UwUYPxbjdvI/AAAAAAAFOH8/u4-FWfKm-ak/s1600/IMG_1811.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s72-c/IMG_3369.jpg)
VIONGOZI WA KINONDONI MNALIONA HILI; KITUO CHA DALADALA CHA BIAFRA CHAGEUZWA DAMPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s1600/IMG_3369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MK_VLwFyPZs/Uvtv9eCYU_I/AAAAAAAAjh0/Nm52T09EGsg/s1600/IMG_3370.jpg)