Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)
Wakazi wa Dar es Salaam leo wamekiona cha mtema kuni baada ya kero zaidi ya tatu kuunganika na kuleta usumbufu mkubwa. Mgomo wa madereva wa magari abiria, umewafanya wananchi wengi ama kutumia gharama zaidi ya kufikia maeneo waliyokuwa wakienda kwa kutumia bodaboda na bajaj au kutembea kwa maguu. Kumeshuhudiwa misululu mikubwa barabarani ya wakazi wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s72-c/IMG-20140526-WA0016.jpg)
MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s1600/IMG-20140526-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R3EUhm-Z0Lc/U4NpC2-vc-I/AAAAAAAAN-Q/JQ5QCy3m8Z8/s1600/IMG-20140526-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZJwscue9NBg/U4NpGERHB_I/AAAAAAAAN-Y/JdwiftCX7hY/s1600/IMG-20140526-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5d51-toaWSg/U4NpMJllmqI/AAAAAAAAN-w/K6oyDnM00Gc/s1600/IMG-20140526-WA0028.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ebeIg2jsU5M/UynW7ZXUM9I/AAAAAAAFVEI/4v_xC6_dD3o/s72-c/unnamed+(26).jpg)
ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO
Habari na picha na John Nditi, Morogoro
Kuanzia aljafiri leo, madereva wa daladala wanaoendesha magari yao ya abiria katika njiaa mbalimbali za Manispaa ya Morogoro waligoma kutoka huduma hiyo kwa muda wa saa 10 wakishinikisha kutendewa haki ya Kikosi cha Usalama Barabarani.
Madereva hao kwa umoja wao Machi 18, mwaka huu walipomaliza kazi yao usiku , walikubaliana kutoamsha magari yao siku inayofuatia kutoa madai ya kuyanyaswa na Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kwa kutozwa faini...
10 years ago
GPLWIZI WA MAFUTA KATIKA FOLENI ZA MAGARI DAR
Vijana wakichukua mafuta toka kwenye lori. …Wakimimina mafuta kwenye madumu.
Madumu ya mafuta yakiwa tayari…
10 years ago
GPLDAR ILIVYOKWAMISHWA NA FOLENI ZA MAGARI ASUBUHI, MCHANA
Magari yalivyoonekana kufunga njia kwenye kona ya barabara za Shekilango na Morogoro. Msururu wa magari uliokuwepo Barabara ya Shekilango. Hali ilivyokuwa eneo la Bamaga mchana wa leo. FOLENI ndefu zamagari zilizokuwepo leo asubuhi na mchana jijini Dar es Salaam zimewafanya watu wengi kutembea kwa miguu. Maeneo…
10 years ago
GPLMGOMO WA DALADALA DAR WASABABISHA MTAFARUKU WA USAFIRI
Wanafunzi na abiria wakisubiri daladala bila mafanikio maeneo ya Mwenge. Baadhi ya wananchi wanaotumia barabara ya Mwenge-Posta wakitembea kwenda kwenye shughuli zao. Hali…
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR
Polisi wakiwa wametanda eneo la Stendi ya Ubungo kuhakikisha hali ya usalama. Wananchi wakiwa wametaharuki katika eneo la Ubungo kutokana na mgomo unaoendelea.…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s72-c/f1.jpg)
libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s1600/f1.jpg)
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii
10 years ago
GPLMGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR
Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10