Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAR ILIVYOKWAMISHWA NA FOLENI ZA MAGARI ASUBUHI, MCHANA

Magari yalivyoonekana kufunga njia kwenye kona ya barabara za Shekilango na Morogoro. Msururu wa magari uliokuwepo Barabara ya Shekilango. Hali ilivyokuwa eneo la Bamaga mchana wa leo. FOLENI ndefu zamagari  zilizokuwepo leo asubuhi na mchana jijini Dar es Salaam zimewafanya watu wengi kutembea kwa miguu. Maeneo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WIZI WA MAFUTA KATIKA FOLENI ZA MAGARI DAR

Vijana wakichukua mafuta toka kwenye lori. …Wakimimina mafuta kwenye madumu.
Madumu ya  mafuta yakiwa tayari…

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam

 Huo msalaba uuonao hapo ni taa za magazri zilizo katika foleni mishale ya saa moja jioni kwenye makutano ya barabara za Morogoro road na Nelson Mandela jijini Dar es salaam. Hakika kuna haja ya kutafuta njia mbadala za kupunguza foleni ya magari katika jiji hili. Ushauri wa bure kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Madiwani wa Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Boresheni njia za pembeni ili magari yaweze kupungua katika barabara hizi kuu. 
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

 

10 years ago

Bongo5

Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)

Wakazi wa Dar es Salaam leo wamekiona cha mtema kuni baada ya kero zaidi ya tatu kuunganika na kuleta usumbufu mkubwa. Mgomo wa madereva wa magari abiria, umewafanya wananchi wengi ama kutumia gharama zaidi ya kufikia maeneo waliyokuwa wakienda kwa kutumia bodaboda na bajaj au kutembea kwa maguu. Kumeshuhudiwa misululu mikubwa barabarani ya wakazi wa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Foleni za magari mipakani

Kwa wafanyabiashara wanaosafiri katika nchi mbalimbali barani Afrika, ni kawaida kuona misururu mirefu katika mipaka ya nchi, huku baadhi ya maeneo, foleni hizo husalia hata kwa wiki kadhaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Foleni ya magari yadumu siku mbili Mombasa

Maafisa wa trafiki Kenya wametumwa eneo la Taru kwenye barabara kuu ya kutoka Mombasa kwenda Nairobi baada ya foleni ndefu iliyodumu siku mbili kukwamisha usafiri.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi

Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) amefariki dunia muda mchache uliopita nyumbani kwake mtaa wa Kariakoo jijini Dar es salaam. Shughuli za maziko zinafanyika hapo hapo nyumbani kwake.Habari ziwafikie ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo.  Maziko yatafanyika kesho Jumatatu saa nne asubuhi. Atasaliwa Msikiti wa Makonde na atazikwa katika Viunga vya Wangazija mtaa wa Bibi Titi Mohamed, Dar es salaam.
 Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit  Imetolewa na:Abdulrahman S. I....

 

10 years ago

Michuzi

HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..

  MAULID BARAKA KITENGE WITH CO HOST  IBRAHIM MASOUD “MAESTRO” NA OMAR KATANGA.WACHAMBUZI  OSCAR OSCAR,  MUSSA KAWAMBWA  NA SUDI  MKUMBA

WATAYARISHAJI : YUSUPH MKULE, FRANCIS MHANDO, DR PANJUAN NA  WENGINEO....


1.    MAULID KITENGE NI NANI?,

Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...

 

11 years ago

GPL

FOLENI KUENDELEA KUTESA JIJINI DAR

Kuna kila dalili kuwa jinamizi la foleni litaendelea kuwatesa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa muda mrefu zaidi kutokana na kasi ndogo ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara za pembezoni (ring roads) na usanifu wa barabara za juu (flyig overs) ambayo kwa ujumla inahitaji walau Sh. bilioni 170.
Kero hiyo itapungua kwa kiasi kikubwa ikiwa fedha hizo zitapatikana ili kutekeleza miradi mbalimbali iliyopewa kipaumbele...

 

11 years ago

KwanzaJamii

DK. MAGUFULI: FOLENI DAR KUWA NDOTO

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema katika kipindi cha miaka mitatu ijayo tatizo la msongamano wa magari katika barabara za jiji la Dar es Salaam litakuwa ndoto. Alisema hayo jana wakati wa ziara ya kukagua miradi ya barabara inayojengwa katika jiji hilo. Alisema serikali imetenga zaidi ya Sh. Trilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa barabara za jiji la Dar es Salaam, ikiwamo ujenzi wa ‘Fly Over’ katika makutano ya barabara za Ubungo, Tazara na Kamata. Waziri Magufuli alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani