YALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR
Baadhi ya madereva na makondakta wakiwa wamejikusanya kuoengelea hatma ya mgomo wao. Abiria waliokata tiketi za kwenda mikoani tangu jana wakiwa hawajui la kufanya. Polisi wakilinda usalama kwenye mkusanyiko huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ti8WAWSsShQ/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 May
Exclusive Usiku huu Mgomo wa Madereva: Abiria walala ndani ya mabasi Ubungo, Mo blog ipo ‘live’
Mwandishi Mwandamizi wa Modewji blog (mtandao huu), Andrew Chale akiwa ndani ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, Jijini Dar es Salaam akiendelea ‘kusaka’ habari hasa kujionea mazingira ya abiria waliokuwa na watotom wagonjwa na wasiojiweza wanavyopata taabu usiku huu baada ya mgomo huo huku abiria wakilala kwenye magari waliokatia tiketi
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hadi muda huu wa saa tano na nusu usiku (11:34 pm) leo Mei 4, Mtandao wako bora nchini wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-herO9MoPhVN1JE52Oc7xfPRrDr2VCu0jxHgMO4gJy3nb1fW2Wo5u-MS2RnYMpvuIZeZ0LrEHiDtwIgev-56KgXS/MGOMO1.jpg?width=650)
TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA STAND YA MABASI UBUNGO, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s72-c/IMG-20140526-WA0016.jpg)
MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbHChCrt0SQ/U4NpBG0JRkI/AAAAAAAAN-I/GcfSCHhJmuA/s1600/IMG-20140526-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R3EUhm-Z0Lc/U4NpC2-vc-I/AAAAAAAAN-Q/JQ5QCy3m8Z8/s1600/IMG-20140526-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZJwscue9NBg/U4NpGERHB_I/AAAAAAAAN-Y/JdwiftCX7hY/s1600/IMG-20140526-WA0021.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5d51-toaWSg/U4NpMJllmqI/AAAAAAAAN-w/K6oyDnM00Gc/s1600/IMG-20140526-WA0028.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Apr
Abiria wataabika na mgomo wa madereva
ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
10 years ago
Habarileo14 Apr
JWTZ iliandaa mabasi 300 kuukabili mgomo wa madereva
KUTOKANA na mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria nchi nzima uliofanyika Ijumaa iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lilikuwa limeshaandaa mabasi 300 ambayo yangetumika kusafirisha abiria, imebainika.
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Madereva wa mabasi ya abiria kugoma tena wiki hii
Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s72-c/E86A6705%2B(800x533).jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s640/E86A6705%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IMmISHls6c/VUe4UTuXpCI/AAAAAAAAO7Y/xS-yMmsETVE/s640/E86A6737%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5h-iEuXdUDU/VUe4W9P4rOI/AAAAAAAAO7g/pdMX5WkmF28/s640/E86A6744%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5iLVUzH08nk/VUe4XJn7BXI/AAAAAAAAO7k/31AOA-nP7ew/s640/E86A6749%2B(800x533).jpg)