Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abiria wataabika na mgomo wa madereva

ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR

Baadhi ya madereva na makondakta wakiwa wamejikusanya kuoengelea hatma ya mgomo wao. Abiria waliokata tiketi za kwenda mikoani tangu jana wakiwa hawajui la kufanya. Polisi wakilinda usalama kwenye mkusanyiko huo.…

 

11 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA DAR KUGOMA KUPELEKA ABIRIA MWENGE KUTOKA MAKUMBUSHO

 Mkaguzi kutoka Sumatra akiongea na Vyombo vya habari na madereva na makondakta  Kamanda wa Polisi kinondoni akitoa mrejesho kwa waandishi wa habari baada ya kuweza kukubaliana na Madereva na Makondakta kutumia barabara kuu kwa siku mbili ili wakati wakiendelea kushughulikia utaratibu wa kutengenezwa kwa barabara za ndani ambazo walikuwa wanapaswa kuzitumia
 Abiria wanaotumia njia ya makumbusho kuelekea Mwenge wakitokea Tandika na Mbagala jijini Dar es salaam leo wameonja Joto ya jiwe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive Usiku huu Mgomo wa Madereva: Abiria walala ndani ya mabasi Ubungo, Mo blog ipo ‘live’

 

live

Mwandishi Mwandamizi wa Modewji blog (mtandao huu), Andrew Chale  akiwa ndani ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, Jijini Dar es Salaam akiendelea ‘kusaka’ habari hasa kujionea mazingira ya abiria waliokuwa na watotom wagonjwa na wasiojiweza wanavyopata taabu usiku huu baada ya mgomo huo huku abiria wakilala kwenye magari waliokatia tiketi

Na Andrew Chale, Modewji blog

Hadi muda huu wa saa  tano  na nusu  usiku (11:34 pm) leo Mei 4, Mtandao wako bora nchini wa...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.

Chama cha wafanyakazi madereva Tanzania-TADWU- kimetangaza mgomo wa madereva nchi nzima kuanzia Agosti tisa mwaka huu baada ya wamiliki wa mabasi, wakala wa usafiri wa nchi kavu na majini pamoja na wizara ya kazi kushindwa kutekeleza makubaliano yalifikiwa na tume iliyoundwa na waziri mkuu kutatua mgogoro wa madereva nchni.Kauli hiyo imetolewa na naibu katibu mkuu wa TADWU, Bwana Rashidi Salehe wakati akizungumza na ITV ambapo amesema mgomo huo unarejea tena baada ya wamiliki wa mabasi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo wakwamisha abiria Tazara

Zaidi ya abiria 200 waliokuwa wakisafiri kwa kutumia treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wamekwama jijini hapa baada ya wafanyakazi wa upande wa Tanzania kugoma kwa siku ya pili mfululizo kwa madai hadi Serikali itakapowalipa mishahara yao ya Februari hadi Mei.

 

10 years ago

BBCSwahili

Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza

Abiria wa Treni ya Tazara wamehangaika kutwaa leo baada ya wafanyikazi kususia kazi wakilalamikia ukosefu wa mishahara yao.

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR

Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…

 

10 years ago

GPL

UFUMBUZI WA MGOMO WA MADEREVA WANAPATIKANA

Waziri wa kazi na ajira mhe.Gaudencia Kabaka Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Pia  Madereva kusoma, Serikali na Madereva wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia mbadala ya kutumika. Yaliokuwa malalamiko ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani