Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza

Abiria wa Treni ya Tazara wamehangaika kutwaa leo baada ya wafanyikazi kususia kazi wakilalamikia ukosefu wa mishahara yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mgomo wakwamisha abiria Tazara

Zaidi ya abiria 200 waliokuwa wakisafiri kwa kutumia treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wamekwama jijini hapa baada ya wafanyakazi wa upande wa Tanzania kugoma kwa siku ya pili mfululizo kwa madai hadi Serikali itakapowalipa mishahara yao ya Februari hadi Mei.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo

Nchini Tanzania Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA wameanza mgomo wa siku saba wakishinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano hadi sasa

 

11 years ago

Habarileo

Mgomo wa Tazara uko palepale

Makao makuu ya Tazara upande wa Tanzania jijini Dar es SalaamWAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo Tazara waingia bungeni

Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisema Serikali inalishughulikia tatizo la mgomo wa wafanyakazi wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), ili kurejesha usafiri katika maeneo yaliyoathirika, wenyewe wamesisitiza kutorudi kazini hadi madai yao yatakapofanyiwa kazi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo Tazara wazidi kuleta madhara

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza kulipwa kwa mishahara yao ya miezi mitano na kusikilizwa madai yao, hali iliyolazimu uongozi wa mamlaka hiyo kurudisha nauli kwa abiria waliokuwa wasafiri na treni jana.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.

 

11 years ago

Habarileo

Abiria Tazara anaswa na meno ya tembo ya milioni 26/-

JESHI la Polisi Kikosi cha Reli ya Tazara linamshikilia mtu mmoja aliyekamatwa akisafirisha vipande 14 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 29 na jino moja la Kiboko lenye uzito wa gramu 900, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 27.9.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu Kamanda wa Polisi kikosi cha Tazara, Innocent Mugaya alimtaja mtu huyo kuwa ni Ally Juma ambaye anatambulika pia kama Ngangari ambaye alikamatwa Desemba 26, 2013 kwenye treni hiyo eneo la Kisaki Wilaya ya...

 

10 years ago

Habarileo

Abiria wataabika na mgomo wa madereva

ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR

Baadhi ya madereva na makondakta wakiwa wamejikusanya kuoengelea hatma ya mgomo wao. Abiria waliokata tiketi za kwenda mikoani tangu jana wakiwa hawajui la kufanya. Polisi wakilinda usalama kwenye mkusanyiko huo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani