Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza
Abiria wa Treni ya Tazara wamehangaika kutwaa leo baada ya wafanyikazi kususia kazi wakilalamikia ukosefu wa mishahara yao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 May
Mgomo wakwamisha abiria Tazara
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo
11 years ago
Habarileo20 May
Mgomo wa Tazara uko palepale
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.
11 years ago
Mwananchi16 May
Mgomo Tazara waingia bungeni
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mgomo Tazara wazidi kuleta madhara
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza kulipwa kwa mishahara yao ya miezi mitano na kusikilizwa madai yao, hali iliyolazimu uongozi wa mamlaka hiyo kurudisha nauli kwa abiria waliokuwa wasafiri na treni jana.
11 years ago
Habarileo16 May
Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.
11 years ago
Habarileo29 Dec
Abiria Tazara anaswa na meno ya tembo ya milioni 26/-
JESHI la Polisi Kikosi cha Reli ya Tazara linamshikilia mtu mmoja aliyekamatwa akisafirisha vipande 14 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 29 na jino moja la Kiboko lenye uzito wa gramu 900, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 27.9.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu Kamanda wa Polisi kikosi cha Tazara, Innocent Mugaya alimtaja mtu huyo kuwa ni Ally Juma ambaye anatambulika pia kama Ngangari ambaye alikamatwa Desemba 26, 2013 kwenye treni hiyo eneo la Kisaki Wilaya ya...
10 years ago
Habarileo12 Apr
Abiria wataabika na mgomo wa madereva
ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.
10 years ago
GPLYALIYOJIRI LEO KATIKA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI YA ABIRIA DAR