Mgomo Tazara waingia bungeni
Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisema Serikali inalishughulikia tatizo la mgomo wa wafanyakazi wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), ili kurejesha usafiri katika maeneo yaliyoathirika, wenyewe wamesisitiza kutorudi kazini hadi madai yao yatakapofanyiwa kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo
11 years ago
Habarileo20 May
Mgomo wa Tazara uko palepale
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.
11 years ago
Mwananchi14 May
Mgomo wakwamisha abiria Tazara
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mgomo Tazara wazidi kuleta madhara
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza kulipwa kwa mishahara yao ya miezi mitano na kusikilizwa madai yao, hali iliyolazimu uongozi wa mamlaka hiyo kurudisha nauli kwa abiria waliokuwa wasafiri na treni jana.
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza
11 years ago
Habarileo16 May
Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.
10 years ago
GPLHALI TETE, MGOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1259.jpg?resize=544%2C408)
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Ugaidi waingia michezoni