Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo

Nchini Tanzania Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA wameanza mgomo wa siku saba wakishinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano hadi sasa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mgomo wa Tazara uko palepale

Makao makuu ya Tazara upande wa Tanzania jijini Dar es SalaamWAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo wakwamisha abiria Tazara

Zaidi ya abiria 200 waliokuwa wakisafiri kwa kutumia treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wamekwama jijini hapa baada ya wafanyakazi wa upande wa Tanzania kugoma kwa siku ya pili mfululizo kwa madai hadi Serikali itakapowalipa mishahara yao ya Februari hadi Mei.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo Tazara waingia bungeni

Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisema Serikali inalishughulikia tatizo la mgomo wa wafanyakazi wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), ili kurejesha usafiri katika maeneo yaliyoathirika, wenyewe wamesisitiza kutorudi kazini hadi madai yao yatakapofanyiwa kazi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo Tazara wazidi kuleta madhara

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza kulipwa kwa mishahara yao ya miezi mitano na kusikilizwa madai yao, hali iliyolazimu uongozi wa mamlaka hiyo kurudisha nauli kwa abiria waliokuwa wasafiri na treni jana.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza

Abiria wa Treni ya Tazara wamehangaika kutwaa leo baada ya wafanyikazi kususia kazi wakilalamikia ukosefu wa mishahara yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Dar yakumbwa na kipindupindu

Ugonjwa wa kipindupindu umeingia Dar es Salaam na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine 26 kulazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
INATISHA! Familia ya Zidadu Kasimu (34) inayoishi Mlandizi, Pwani inakumbwa na mauzauza nyakati za usiku kwenye nyumba yao baada ya wageni wanaofika na kulala vyumbani kusimulia visa vya kutisha vinavyohusisha ushirikina. Baba mama na mtoto wao wakiwa na huzuni. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Zidadu alisema vitimbwi hivyo vilianza mwaka 2004 baada ya wageni wake...

 

10 years ago

Mtanzania

Muhimbili yakumbwa na uhaba wa damu

NA TUNU NASSOR , DAR ES SALAAM
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.
Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopelekwa katika hospitali hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha, ilieleza kuwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani