FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA
![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaifIncoRODgz0OkWCA*gWxCFwZpW1hFr*vkFDH8CP0Xz2d7Gd6koOcTiYQoYNli0heXdkKFJFcIRiVDQAzX5LcC/BACKAMANI.jpg?width=650)
Chande Abdallah na Deogratius Mongela INATISHA! Familia ya Zidadu Kasimu (34) inayoishi Mlandizi, Pwani inakumbwa na mauzauza nyakati za usiku kwenye nyumba yao baada ya wageni wanaofika na kulala vyumbani kusimulia visa vya kutisha vinavyohusisha ushirikina. Baba mama na mtoto wao wakiwa na huzuni. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Zidadu alisema vitimbwi hivyo vilianza mwaka 2004 baada ya wageni wake...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-zSmPpGv2bpY/VmG5Qnh-AJI/AAAAAAAAr-w/0tsoRQCyiwM/s72-c/seif.jpg)
MAUZAUZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zSmPpGv2bpY/VmG5Qnh-AJI/AAAAAAAAr-w/0tsoRQCyiwM/s1600/seif.jpg)
(Dkt. MUHAMMED SEIF KHATIB) Mwanadamu ameumbwa na milango ya fahamu. Milango hiyo ya utambuzi humsaidia mtu kuelewa kitu au jambo liliopo. Huweza kutambua kitu kwa kukishika, kukisia, kufikiria au kudhani. Lakini kwa vile milango hiyo ni mingi, binadamu anao uwezo wa kugusa, kuonja, kunusa au kusikia. Hata hivyo, mwanadamu huweza kumghilibu binadamu mwingine au kumdanganya kwa kutumia milango hiyo ya utambuzi na hatimaye kumpotosha. Upo uwezo wa kudanganya macho ili yaone mambo kinyume...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Miaka 50 ya Muungano iliyozaa mauzauza
JANA Watanzania wote walijumuika kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika Aprili 26, 1964 ulioasisiwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Mauzauza ya Simba, Yanga yanachusha
‘MAUZAUZA’ ni hali ya macho kudanganyika na kuyafanya yaone kitu ambacho sivyo kilivyo. Aidha ni hali ya kutoeleweka; shaghalabaghala. Maana ya ‘chusha’ ni chukiza, udhi. Ndivyo zilivyo Simba na Yanga....
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mauzauza kura za maoni CCM
10 years ago
Vijimambo23 Jul
Mauzauza ya BVR yahamia Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mwananchi.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2803574%2FhighRes%2F1069147%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2F12choasz%2F-%2Fpic%2BBvr.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-sh2RV7I6idFe0J0UuedwiVIkEsqOt*7ObDnIRLjxlzjpewXp1y9fHU6l5VN8HAleeO7yAHUhswygLyOkAufwsD/HAFSA.jpg)
HAFSA AELEZA ALIVYO-TESWA NA MAUZAUZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s72-c/written-budget.jpg)
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s1600/written-budget.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXuSRhFkZKg/VgYmTxTna4I/AAAAAAAAU_8/bg4zJrFA94w/s72-c/1.jpg)
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
11 years ago
GPLMAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU