Mauzauza ya Simba, Yanga yanachusha
‘MAUZAUZA’ ni hali ya macho kudanganyika na kuyafanya yaone kitu ambacho sivyo kilivyo. Aidha ni hali ya kutoeleweka; shaghalabaghala. Maana ya ‘chusha’ ni chukiza, udhi. Ndivyo zilivyo Simba na Yanga....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Vijimambo
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0



10 years ago
Vijimambo
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

11 years ago
Mwananchi25 Jun
KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga
10 years ago
Vijimambo
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
9 years ago
CCM Blog
MAUZAUZA

(Dkt. MUHAMMED SEIF KHATIB) Mwanadamu ameumbwa na milango ya fahamu. Milango hiyo ya utambuzi humsaidia mtu kuelewa kitu au jambo liliopo. Huweza kutambua kitu kwa kukishika, kukisia, kufikiria au kudhani. Lakini kwa vile milango hiyo ni mingi, binadamu anao uwezo wa kugusa, kuonja, kunusa au kusikia. Hata hivyo, mwanadamu huweza kumghilibu binadamu mwingine au kumdanganya kwa kutumia milango hiyo ya utambuzi na hatimaye kumpotosha. Upo uwezo wa kudanganya macho ili yaone mambo kinyume...
10 years ago
GPL
FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA