KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga
>Wagombea wa nafasi za urais katika uchaguzi mkuu wa Simba, Andrew Tupa na Evans Aveva wamesema wanachukizwa na uwepo wa makundi katika klabu hiyo pamoja na mafanikio ya watani zao Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
VijimamboAUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
9 years ago
VijimamboYANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
10 years ago
VijimamboBAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
GPLWAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Kampeni uchaguzi Simba zaanza
KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Aveva azindua kampeni Simba
MGOMBEA urais wa klabu ya Simba katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Jumapili, Evans Aveva, jana amezindua kampeni kwa kutangaza vipaumbele vyake kama atashinda nafasi hiyo, ikiwamo kuvunja makundi baada ya...