WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39chAM-T1wK7O8cwXqJfCxg3xJGSeI2RpYKMUD09kn0WTjfWscoZf8azyhKAGd8DtDtU05In7tPa2Fs9O7-kBTZ3/simba3.jpg?width=650)
Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba
MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe
10 years ago
Mwananchi13 Sep
URA yaichapa Simba kwa mbwembwe
10 years ago
Habarileo16 Jun
Migiro, mwanafunzi wachukua fomu
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro jana alichukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, hivyo kufikisha idadi ya makada 36 wa chama hicho wanaowania urais, lakini pia akiwa mwanamke wa nne kuthubutu kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
9 years ago
Habarileo28 Aug
12 wachukua fomu urais Zanzibar
WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Leicester wachukua uongozi EPL
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Watangaza nia wachukua fomu za urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.
PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Watatu wachukua fomu za urais NEC
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vitatu vya siasa nchini, wamechukua fomu za kuwania nafasi hiyo, huku wakikirushia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali za nchi. Wagombea hao walichukua fomu hizo kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es Salaam jana.
9 years ago
Habarileo18 Aug
ubungeWanaowania uwakilishi, ubunge wachukua fomu
WAGOMBEA wa nafasi za ubunge, uwakilishi pamoja na udiwani wamejitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).