Migiro, mwanafunzi wachukua fomu
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro jana alichukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, hivyo kufikisha idadi ya makada 36 wa chama hicho wanaowania urais, lakini pia akiwa mwanamke wa nne kuthubutu kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Aug
12 wachukua fomu urais Zanzibar
WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.
9 years ago
Habarileo18 Aug
ubungeWanaowania uwakilishi, ubunge wachukua fomu
WAGOMBEA wa nafasi za ubunge, uwakilishi pamoja na udiwani wamejitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Watangaza nia wachukua fomu za urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.
PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Watatu wachukua fomu za urais NEC
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vitatu vya siasa nchini, wamechukua fomu za kuwania nafasi hiyo, huku wakikirushia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali za nchi. Wagombea hao walichukua fomu hizo kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es Salaam jana.
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Watatu zaidi wachukua fomu za urais CCM
NA DEBORA SANJA, DODOMA
MBIO za urais zinaendelea kupamba moto baada ya makada wa CCM wanaochukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi hiyo kupitia chama hicho kufikia 18.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ndiye alikuwa wa 16 kuchukua fomu hizo jana akifuatiwa na makada wengine wa chama hicho, Peter Nyalali na Leonce Mulenda
Nyalandu alifika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, akiwa ameambatana na mkewe Faraja Nyalandu na watoto wao wawili.
Akijibu swali kuhusu jinsi gani...
11 years ago
Michuzi12 Mar
watano wachukua fomu kugombea ubunge jimbo la chalinze
Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo, Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
Mathayo Torongey (CHADEMA) Phabian Skauki wa (CUF) Vuniru Hussein (NRA) Ramadhan Mgaya (ASP) Ridhiwani Kikwete (CCM)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39chAM-T1wK7O8cwXqJfCxg3xJGSeI2RpYKMUD09kn0WTjfWscoZf8azyhKAGd8DtDtU05In7tPa2Fs9O7-kBTZ3/simba3.jpg?width=650)
WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
10 years ago
GPLSTEVE NYERERE, WAKILI MAKENE WACHUKUA FOMU UBUNGE KINONDONI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
IDD AZAN na Jumaa Mhina 'Pijei' wachukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni na Kawe
![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHXpBFgfMiQ/VadpBfaUzfI/AAAAAAAHqCw/Tca_fYKf7pQ/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)