Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watatu wachukua fomu za urais NEC

WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vitatu vya siasa nchini, wamechukua fomu za kuwania nafasi hiyo, huku wakikirushia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali za nchi. Wagombea hao walichukua fomu hizo kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es Salaam jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Watatu zaidi wachukua fomu za urais CCM

nyalanduNA DEBORA SANJA, DODOMA

MBIO za urais zinaendelea kupamba moto baada ya makada wa CCM wanaochukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi hiyo kupitia chama hicho kufikia 18.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ndiye alikuwa wa 16 kuchukua fomu hizo jana akifuatiwa na makada wengine wa chama hicho, Peter Nyalali na Leonce Mulenda
Nyalandu alifika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, akiwa ameambatana na mkewe Faraja Nyalandu na watoto wao wawili.
Akijibu swali kuhusu jinsi gani...

 

10 years ago

Michuzi

MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC

MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, akikabidhiwa fomu za uteuzi za tume ya taifa ya uchaguzi, NEC, kutoka kwa afisa uchaguzi mwandamizi wa tume hiyo, makao makuu ya NEC jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Agosti 1, 2015.MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

Habarileo

12 wachukua fomu urais Zanzibar

WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Watangaza nia wachukua fomu za urais

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.

PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mgombea wa Urais Dkt John Pombe Magufuli  kupitia Chama hicho katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais katika Ofisi za NEC Leo. 
  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mgombea Mwenza  wa Urais Mh. Samia Suluhu  kupitia Chama hicho katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais katika Ofisi za NEC Leo.   Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC

Edward Lowassa akimkabidhi fomu ya urais Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva (kulia). Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Ukawa, Mhe. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea Mwenza Juma Haji Duni leo wamekamilisha zoezi la kurudisha fomu katika tume ya Taifa ya…

 

10 years ago

Habarileo

Waliochukua fomu za urais warudisha Nec

WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza ratiba fomu za urais

Tume ya Uchaguzi (Nec) imetangaza kuanzia kesho, Jumamosi, wagombea wa nafasi ya urais wataanza kuchukua fomu za kuwania kiti hicho katika zoezi litakalodumu hadi Agosti 21, mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC

Mgombea urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damiani Lubuva, wakati alipowasili ofisi hizo. …Akiwa na mgombea mwenza, Samiah Hassan Suluhu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani