NEC yatangaza ratiba fomu za urais
Tume ya Uchaguzi (Nec) imetangaza kuanzia kesho, Jumamosi, wagombea wa nafasi ya urais wataanza kuchukua fomu za kuwania kiti hicho katika zoezi litakalodumu hadi Agosti 21, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
GPL
NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
10 years ago
GPL
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
10 years ago
Habarileo22 Aug
Waliochukua fomu za urais warudisha Nec
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.
10 years ago
GPLMAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
10 years ago
Habarileo02 Aug
Watatu wachukua fomu za urais NEC
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vitatu vya siasa nchini, wamechukua fomu za kuwania nafasi hiyo, huku wakikirushia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali za nchi. Wagombea hao walichukua fomu hizo kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es Salaam jana.
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Habarileo20 Aug
‘Hakuna mgombea urais aliyerejesha fomu NEC’
IKIWA zimebaki saa 48 kabla ya ukomo wa tarehe ya vyama vya siasa vilivyochukua fomu za kuwania urais, kurudisha fomu kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, hakuna chama ambacho mgombea wake amefanya hivyo.